Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

Wachambuzi 10 wa mpira Bora kwa sasa, sita taja vituo vyao........

1. George Ambangile.
2. Jemedari said kazumari.
3.Ramadhani MBWADUKE.
4. Nazareth Upete.
5. Abisay Steven.
6. Ibra Kasuga.
8. AMRI KIEMBA.
9. Rashid Seif.
10.Farhan kihamo.
11.mimi.

N:B.
RIP KASHASHA MTAALAM WA PHYSICAL EDUCATION..
Ktk wote uliotaja hapo wachambuzi wa football ni watatu tu
George ambagile
Ramadhan mbwaduke
Amri kiemba

Hao ndo watu wanaoweza kuichambua game kiufundi baada ya dk 90.. kuna wachambuzi wa mpira kama wanavyofanya kina nevile, calagher na wengineo hao ni wachambuzi wanaichambua mechi kiufundi kabla ya dk 90 na baada ya 90.

Ambagile,mbwaduke wanaweza kuchambua game kiufundi ila hao wengine uliowaja hapo ni watangazaji tu wa vituo vya radio hawana tofauti na kina baba levo nae ni mtangazaji kama wao tu ila wapo kwenye vipindi tofauti tofauti.
 
Mchambuzi wa mpira nchi hii ni mmoja tu George ambagile wengine wote waliobaki ni watangazaji tu au ma reporter wa habari.

George ambagile yeye amejikita ktk kuuchambua mpira tu kiufundi na hafanyi siasa za mpira.

George ambagile ndo mchambuzi pekee anaeweza kuichambua game baada ya dk 90 kiufundi na ukaelewa mbinu zilizokuwa zinatumika uwanjani ila hawa wengine hawana jicho la uchambuzi wa game na hawajui kuchambua mpira.
Labda ongezea Ramadhan Mbwaduke na Godlisten Muro wawe watatu
 
Wachambuzi 10 wa mpira Bora kwa sasa, sita taja vituo vyao........

1. George Ambangile.
2. Jemedari said kazumari.
3.Ramadhani MBWADUKE.
4. Nazareth Upete.
5. Abisay Steven.
6. Ibra Kasuga.
8. AMRI KIEMBA.
9. Rashid Seif.
10.Farhan kihamo.
11.mimi.

N:B.
RIP KASHASHA MTAALAM WA PHYSICAL EDUCATION..
Wachambuzi wote wa UFM,TBC TAIFA na AZZAM TV

Wengine miyeyusho tu utasikia low block, double pivot, half space

Halafu walivyo wapumbavu hawatoi matokeo ila wanaanza uchambuzi

Mtu anaanza tu kuchambua mechi kama vile watu Wana matokeo ya jana duh!!! Very sad.

Kiufupi tasinia ya habari imevamiwa
 
Mchambuzi wa mpira nchi hii ni mmoja tu George ambagile wengine wote waliobaki ni watangazaji tu au ma reporter wa habari.

George ambagile yeye amejikita ktk kuuchambua mpira tu kiufundi na hafanyi siasa za mpira.

George ambagile ndo mchambuzi pekee anaeweza kuichambua game baada ya dk 90 kiufundi na ukaelewa mbinu zilizokuwa zinatumika uwanjani ila hawa wengine hawana jicho la uchambuzi wa game na hawajui kuchambua mpira.
Wachambuzi wengi wanachambua matukio
 
Mimi sio mfuatiliaji sana wa kuwasilikiza hao wachambuzi mbalimbali (kwa kuwa mimi pia huwa naangali mpira na kujichambulia mimi mwenyewe binafsi na kugundua kumbe niko bora kuliko wale wachambuzi rasmi tunawafahamu), lakini kuna jamaa mmoja anaitwa Godlisten Muro nimewahi kumuona Azam Tv mara chache akichambua mpira na mara zote niliweza kumuelewa na kwa hakika ni mchambuzi bora sana.
 
Mimi sio mfuatiliaji sana wa kuwasilikiza hao wachambuzi mbalimbali (kwa kuwa mimi pia huwa naangali mpira na kujichambulia mimi mwenyewe binafsi na kugundua kumbe niko bora kuliko wale wachambuzi rasmi tunawafahamu), lakini kuna jamaa mmoja anaitwa Godlisten Muro nimewahi kumuona Azam Tv mara chache akichambua mpira na mara zote niliweza kumuelewa na kwa hakika ni mchambuzi bora sana.
[emoji3578]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom