Uzi maalumu wa kutaniana na mtani wako hapa Jf

Hahahaaaaa. Mtani umejua kujikaza lol.

Hawajambo Mtani wazima wa afya. Sijui Wifi naye na Watoto? Hawajambo?
wifi na watoto bado hawajapatikana mtani, ila wifi yako(mke wa bro ) na watoto wazima wa afya tele
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu ni kama signature ya nani vile?
Nikutanie???
Ndiyo maana una macho kama kile kiumbe ulichokitaja..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndukiiiiiiiiiiiiiii
 
Yericko umepatia sanaaa kwenye magroup ya wasap misiba hachangii yeye kutangaza vitabu vyake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…