Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Huu ni uzi maalumu wa kutuma salamu za mwaka mpya,kwa yeyote nje na ndani ya nchi...
Mimi natuma salamu kwa Rais wangu mpendwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli,ninamtakia afya njema na aongezewe busara zaidi na weledi,akapate nguvu zaidi na aepushwe na hila zote za shetani.
Mwaka 2020 ukawe mwaka wa Tanzania kuinuliwa.
Karibu utume salamu zako.
Mimi natuma salamu kwa Rais wangu mpendwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli,ninamtakia afya njema na aongezewe busara zaidi na weledi,akapate nguvu zaidi na aepushwe na hila zote za shetani.
Mwaka 2020 ukawe mwaka wa Tanzania kuinuliwa.
Karibu utume salamu zako.