Uzi maalumu wa kuweka tetesi na Taarifa za usajili Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao 2022/2023

Uzi maalumu wa kuweka tetesi na Taarifa za usajili Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao 2022/2023

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Salaam Wakuu,

Ligi kuu ya NBC ya msimu huu 2021/2022 inaelekea ukingoni huku timu ya Yanga ikiwa na zaidi ya 99% ya kunyakua taji hili. Kama tujuavyo mwisho wa msimu mmoja ndiyo maandalizi ya msimu mwingine.

Baadhi ya timu tayari zimeanza kufanya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao. Timu nyingi zimeanza kuwawinda nyota mbalimbali wa timu nyingine ili kuzidi kujiimarisha.

Uzi huu tuutumie kuweka tetesi mbalimbali za usiajli kwa ajili ya msimu ujao.

Naanza na hii

1. Yanga SC wanakaribia kumsajili Lazarous Kambole ambaye anaondoka Kaizer Chiefs mwishoni mwa mwezi huu.

1654158657676.png
 
Salaam Wakuu,

Ligi kuu ya NBC ya msimu huu 2021/2022 inaelekea ukingoni huku timu ya Yanga ikiwa na zaidi ya 99% ya kunyakua taji hili. Kama tujuavyo mwisho wa msimu mmoja ndiyo maandalizi ya msimu mwingine.

Baadhi ya timu tayari zimeanza kufanya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao. Timu nyingi zimeanza kuwawinda nyota mbalimbali wa timu nyingine ili kuzidi kujiimarisha.

Uzi huu tuutumie kuweka tetesi mbalimbali za usiajli kwa ajili ya msimu ujao.

Naanza na hii

1. Yanga SC wanakaribia kumsajili Lazarous Kambole ambaye anaondoka Kaizer Chiefs mwishoni mwa mwezi huu.

Mbona kama naona anafanana na Mayele au?
 
Yanga inakaribia kumfukuza kazi kocha wake, tetesi zilozopo ni kwamba kocha wa club moja kutoka Saudi Arabia atachukua mikoba yake!
 
Bernard Morrison ameshasaini mkataba wa awali wa kujiunga na Yanga. Na taarifa zinaonyesha ni chaguo la Prof Nabi!

Mashabiki tusiomkubali huyu mvuta bangi sijui tutazificha wapo sura zetu msimu ujao! I wish abadili maamuzi dakika za mwisho, halafu abakie huko huko kwao.
 
Yanga inakaribia kumfukuza kazi kocha wake, tetesi zilozopo ni kwamba kocha wa club moja kutoka Saudi Arabia atachukua mikoba yake!
kule Mirembe bado kuna vitanda viko wazi baada ya wenzako kupata nafuu na kuruhusiwa kurudi home kusubiri mawingu yajae tena angani walipuke tena!!

Tetesi nilizosikia ni kuwa timu ya Ubelgiji ndo waliipasua Saudi Arabia kwenye ndondo kapu ndo Saudi Arabia FC ya Mbagala wametuma ofa Yanga wanamtaka Profesa Nabi

Hivi kwanini Simba wakipasuliwa na Yangu tu huanza choko choko si mtulie sindano ziwachome vizuri Nabi muacheni tuendelee kuwapasua. Morrison aliwapasua mkamchukua, Nabi kasuka kikosi kimewapasua mnataka aondoke Yanga why Mikia?
 
team yoyote itayo mnasa 'munyama' Chriss Mugalu itakuwa imelamba dumee…………..!
Simba ameshindwa ku perform sababu ya 'misumari' iliyo mpelekea kwenye kupata 'puncture' za mara kwa mara
 
Bernard Morrison ameshasaini mkataba wa awali wa kujiunga na Yanga. Na taarifa zinaonyesha ni chaguo la Prof Nabi!

Mashabiki tusiomkubali huyu mvuta bangi sijui tutazificha wapo sura zetu msimu ujao! I wish abadili maamuzi dakika za mwisho, halafu abakie huko huko kwao.
😅😅😅Na awez kuja utopolo
 
Unaambiwa wachezaji hawa wanaweza kuiacha simba msimu ujao

Players who could leave 🇹🇿 Simba SC at the end of the season:

🇲🇼 Banda
🇨🇮 Wawa
🇺🇬 Lwanga
🇷🇼 Kagere
🇨🇩 Mugalu
🇹🇿 Kibu
🇰🇪 Onyango
🇬🇭 Morrison (gone already)

Source: Mickyjnr
 
Bernard Morrison ameshasaini mkataba wa awali wa kujiunga na Yanga. Na taarifa zinaonyesha ni chaguo la Prof Nabi!

Mashabiki tusiomkubali huyu mvuta bangi sijui tutazificha wapo sura zetu msimu ujao! I wish abadili maamuzi dakika za mwisho, halafu abakie huko huko kwao.
Daah nje ya bangi jamaa ni baller sana. Tatizo matukio mengi sana ndo yanamfanya aonekane kawaida.
 
kule Mirembe bado kuna vitanda viko wazi baada ya wenzako kupata nafuu na kuruhusiwa kurudi home kusubiri mawingu yajae tena angani walipuke tena!!

Tetesi nilizosikia ni kuwa timu ya Ubelgiji ndo waliipasua Saudi Arabia kwenye ndondo kapu ndo Saudi Arabia FC ya Mbagala wametuma ofa Yanga wanamtaka Profesa Nabi

Hivi kwanini Simba wakipasuliwa na Yangu tu huanza choko choko si mtulie sindano ziwachome vizuri Nabi muacheni tuendelee kuwapasua. Morrison aliwapasua mkamchukua, Nabi kasuka kikosi kimewapasua mnataka aondoke Yanga why Mikia?

Wewe ndiye mmojawapo wa waliopata nafuu kutoka Mirembe siyo?
Pole na hongera kwa kupata nafuu, ila bila shaka dawa za ziada leo hujatumia, malizia dozi kisha urudi tena Mirembe, nafasi yako uliyoiacha bado ipo!
 
Unaambiwa wachezaji hawa wanaweza kuiacha simba msimu ujao

Players who could leave 🇹🇿 Simba SC at the end of the season:

🇲🇼 Banda
🇨🇮 Wawa
🇺🇬 Lwanga
🇷🇼 Kagere
🇨🇩 Mugalu
🇹🇿 Kibu
🇰🇪 Onyango
🇬🇭 Morrison (gone already)

Source: Mickyjnr
timu nzima ya Mikia aka Makolo FC ni mbovu na inafaa itimuliwe yote kwa kukubali kupasuliwa na Feisal na kusababisha mashabiki wake kujazana mahospitalini kutibiwa majeraha ya moyo!

pia wawatimue MOooo, Barabara na Matofali
 
Bernard Morrison ameshasaini mkataba wa awali wa kujiunga na Yanga. Na taarifa zinaonyesha ni chaguo la Prof Nabi!

Mashabiki tusiomkubali huyu mvuta bangi sijui tutazificha wapo sura zetu msimu ujao! I wish abadili maamuzi dakika za mwisho, halafu abakie huko huko kwao.
Kama ni kweli basi ndio wamuangaikie kwanza kwa matibabu ya afya ya akili kwanzia sasa


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kama ni kweli basi ndio wamuangaikie kwanza kwa matibabu ya afya ya akili kwanzia sasa


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Morrison atavaa uzi wa njano na kijani msimu ujao aisee! Kama mashabiki tulivyopigwa na kitu kizito baada ya Haji Manara kuhamia Yanga, ndivyo itakavyo tokea kwenye ujio wa Morisson mabange.
 
Back
Top Bottom