Uzi maalumu wa kuweka tetesi na Taarifa za usajili Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao 2022/2023

Mchukue huyo kelvin Nashon halafu utakuja kunishukuru baadae

Huyo ndo kile kizazi cha akina Job, kibwana, Mshery,Kibabage, kabwili........kiungo mkabaji wao alikuwa Kelvin Nashon ile U-17 ya coach Kim Poulsen
Kelvin ni Jembe
 
Kumbe Chama bado mko naye! Hongereni. Ila ukubali tu kiwango chake kwa sasa hakitabiriki! Na hasa pale anapocheza na timu kubwa kama Yanga.
Dah! Yanga nayo ni timu kubwa ? Sasa kama Yanga ni timu kubwa , underdog ni zipi?

Yanga na Ruvu shooting hawana tofauti mkuu ukweli mchungu ! Ruvu ana point 0.00 caf na Yanga ana 0.5. Sasa hapo tofauti iko wapi? Afadhali ungesema hata Namungo mwenye point 2 huko caf ungeeleweka kuliko kuitaja Yanga kuwa ni timu kubwa.
 
Kwa hiyo makolo watakuwa wamesikia ushauri wangu wa Bure😂😂😂
 
Huu uzi umekosa mvuto, hauna jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…