Melchizedek - Mfalme wa Haki.
Matthias - zawadi ya Mungu.
Jephtah- Mungu hufungua.
Jeremiah- Mungu huinua.
Isaiah- Wokovu watoka Kwa Mungu.
Emmanuel - pamoja nasi ni Mungu.
Ishmael- Mungu husikia.
Elijah- Bwana ni Mungu.
Daniel- Mungu ni Hakimu wangu.
Deborah- nyuki.
Delilah- mtamu.
Elisha- Mungu ni wokovu.
Elizabeth - Mungu ameniweka huru.
Felix- mwenye furaha.
Ezra- msaada.
Gabriel - Shujaa wa Mungu.
Hannah- neema.
Hezekiah- Mungu amenitia nguvu.
Jehoshaphat - Mungu ni Hakimu.
Habbakuk- mfariji.
Enoch- aliyetakaswa.
Eleazer.- Mungu ni msaada wangu.
Josiah- Na Mungu atupe hitaji letu.
Jotham-Mungu ni mkamilifu.
Micah(la kike)- nani kama Mungu?
Michael- nani kama Mungu?
Naomi- mpendwa wangu.
Nathan- Mungu ametoa.
Nehemiah- Mungu amenifariji.
Onesimus- Faida.
Paulo- mdogo.
Peter- mwamba.