DROO….MASHUJAA FC 0vs GEITA GOLD FC WAMEWEZA KUZUIA KASI YETU YA MAPIGO NA MWENDO
Leo tumetoka bila kufunga goli Ktk Uwanja wetu wa lake Tanganyika baada ya kutoka Droo bila magoli Geita Gold fc Nina wapongeza Geita Gold kwa kuweza kuzuia Mapigo na Mwendo kupata Droo lake Tanganyika ni bahati kwao……
Nina toa shukrani za dhati kutoka moyoni kwa Wachezaji wa MASHUJAA FC kwa Mchezo Mzuri, Bechi la Ufundi, Viongozi wa mashujaa fc, Chama cha soka mkoa wa kigoma(KFA) na kamati ya hamasa kwa kazi kubwa maandalizi ya mechi yetu tumecheza Mpira mzuri tumekosa bahati ya kushinda tumetemgeneza nafasi nyingi ninaamini kocha atafanyia kazi mapungufu.
Ninatoa shukrani kwa Wadau wa Mpira na Waandishi wa habari kwa kuitangaza timu yetu Morari ya mashabiki kushangilia Muda wote wakati mpira unachezwa Unaona rahaaa.
Nawatakiwa hamasa njema.
Hamasa mashujaa Fc.
21/08/2023