Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna timu itapigwa radi kule , Wallah tena !
Huu ni uzi wetu, maoni ya wadau Ni hazina yetumechi ya jana imemalizima na alhamdulil laah tumepata point 1. si haba[emoji1317][emoji1317]
Focus yetu sasa ni kujiandaa kikamilifu kuelekea Game ya Ihefu ambayo sina shaka tutafanya vzr[emoji1317][emoji1317]
ukiachia mbali maswala ya timu na mchezo. Je ni changamoto zipi ambazo washabiki wetu mlikutana nazo ili tuweze kuzipresent zifanyiwe kazi mchezo ujao??
tunawapenda na kuwajali washabiki wetu hivyo kama kuna changamoto mlikutana nazo vema mtujuze. tunataka mechi ya Ihefu umati wa washabiki uwe mkubwa sana. point 3 zitatufanya tufikishe point 7 ambazo bado zitakuwa zimetuweka nafasi za juu
Sawa mdauWiki ijayo nitaweka makala maalumu ya historia ya kuanzishwa kwa timu ya mashujaa na kila kitu kuhusu timu yetu pendwa ya Mashujaa wa lake tanganyika
Nipo kwenye mchakato wa kuomba ruhusa hiyo kutoka kitengo husika
Timu yetu inaongoza ligiRadi + busha
Hongereni, mnaongoza ligi. Kazeni hapohapoHii ndio timu pekee inayoshiriki ligivkuu kutoka mkoani Kigoma.
Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu ya soka ya Mbeya City Fc kwenye mechi zote mbili.
Lukuga ndio ngome ya MashujaaHongereni, mnaongoza ligi. Kazeni hapohapo
Bila Tabora Utd uzi huu batili.Hii ndio timu pekee inayoshiriki ligivkuu kutoka mkoani Kigoma.
Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu ya soka ya Mbeya City Fc kwenye mechi zote mbili.
Bila Tabora Utd uzi huu batili.
Waha wabishi sanaSafi....
Tabora Ni wadogo zetu kwenye boli.Bila Tabora Utd uzi huu batili.
Timu ikiingia mtego wa Simba na Yanga umeisha hiyo.Mashujaa wa Lake Tanganyika Nyumbani.........nikiwa Buzebazeba Mtaa wa Sokoine Mechi tunaangalia kutokea juu ya miti inayozunguka Uwanja wa Lake T, hii huwa tunafanya kwenye mechi za wakuja Kama Simba na Yanga,Ila Chama la Wana Lake T....tunachangia getini.
Mashujaa wametuheshimisha Sana...tunazitaka timu za Kariakoo Sasa tuzioneshe rangi halisi ya wana Kigoma ndani ya Dimba la Lake T.