Uzi maalumu wa Mashujaa wa ziwa Tanganyika, Mashujaa FC

Uzi maalumu wa Mashujaa wa ziwa Tanganyika, Mashujaa FC

Ngoja niweke kambi hapa. Mashujaa tunaitaka CCL
 
mechi ya jana imemalizima na alhamdulil laah tumepata point 1. si haba[emoji1317][emoji1317]
Focus yetu sasa ni kujiandaa kikamilifu kuelekea Game ya Ihefu ambayo sina shaka tutafanya vzr[emoji1317][emoji1317]
ukiachia mbali maswala ya timu na mchezo. Je ni changamoto zipi ambazo washabiki wetu mlikutana nazo ili tuweze kuzipresent zifanyiwe kazi mchezo ujao??

tunawapenda na kuwajali washabiki wetu hivyo kama kuna changamoto mlikutana nazo vema mtujuze. tunataka mechi ya Ihefu umati wa washabiki uwe mkubwa sana. point 3 zitatufanya tufikishe point 7 ambazo bado zitakuwa zimetuweka nafasi za juu
Huu ni uzi wetu, maoni ya wadau Ni hazina yetu
 
Timu yetu inaongoza ligi kwa sasa, ikitokea ligi imesimama leo, kesho tutatangazwa mabingwa wapya 2023/24 😅😅
 
Hii ndio timu pekee inayoshiriki ligivkuu kutoka mkoani Kigoma.
Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu ya soka ya Mbeya City Fc kwenye mechi zote mbili.
Hongereni, mnaongoza ligi. Kazeni hapohapo
 
Bila Tabora Utd uzi huu batili.
IMG-20230918-WA0033.jpg
 
Mashujaa wa Lake Tanganyika Nyumbani.........nikiwa Buzebazeba Mtaa wa Sokoine Mechi tunaangalia kutokea juu ya miti inayozunguka Uwanja wa Lake T, hii huwa tunafanya kwenye mechi za wakuja Kama Simba na Yanga,Ila Chama la Wana Lake T....tunachangia getini.

Mashujaa wametuheshimisha Sana...tunazitaka timu za Kariakoo Sasa tuzioneshe rangi halisi ya wana Kigoma ndani ya Dimba la Lake T.
 
Mashujaa wa Lake Tanganyika Nyumbani.........nikiwa Buzebazeba Mtaa wa Sokoine Mechi tunaangalia kutokea juu ya miti inayozunguka Uwanja wa Lake T, hii huwa tunafanya kwenye mechi za wakuja Kama Simba na Yanga,Ila Chama la Wana Lake T....tunachangia getini.

Mashujaa wametuheshimisha Sana...tunazitaka timu za Kariakoo Sasa tuzioneshe rangi halisi ya wana Kigoma ndani ya Dimba la Lake T.
Timu ikiingia mtego wa Simba na Yanga umeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom