Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Kama unaweza gombea na Lissu ili ujue kuwa huna lolote.Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
I am not a politician, wwe mwenye lolote gombea.Kama unaweza gombea na Lissu ili ujue kuwa huna lolote.
Kwani hao wa kijijini kwenu, ndo hao hao wapo kwenye mitandao ya kijamii? Maana naona unachanganya madesa, wala hujajibu swali langu.Si kweli. Kijijini kwangu hata bendera ya CHADEMA rangi yake hawaijui. Uchaguzi wa serikali ya mitaa tarafa mzima hakukuwa na mgombea wa CHADEMA. Endeleeni kujifariji kuwa Chama kinanguvu mitandaoni Hadi mitaani.
Pia ni lini ccm ilishatoa ushahidi kwamba sultan ni gaidi?Samahani mkuu ni lini CHADEMA ilishatoa ushahidi wa LOWASA kuwa fisadi kuu na 1 badala yake iishangaza ulimwengu 2015 kuwa mgombea wake wa urais
Mbowe aondoke.
View: https://www.youtube.com/live/z2jNbADMJ_A?si=47oGOnBf4YbVgAA_
BAWACHA wanafanya Uchaguzi wao wa kuwachagua Viongozi wao wa Baraza kwa mwaka 2024-2029.
Usiondoke Jf kwa habari motomoto
Hilo ndilo baraza kuu la wanawake Tanzania na tunawafuatilia kwa karibu.
View: https://www.youtube.com/live/z2jNbADMJ_A?si=47oGOnBf4YbVgAA_
BAWACHA wanafanya Uchaguzi wao wa kuwachagua Viongozi wao wa Baraza kwa mwaka 2024-2029.
Usiondoke Jf kwa habari motomoto
Kumbe Berson huyu huyu ambaye Taaluma ni Mwalimu ghafla tu amekua Engineer.......... Tanzania ina mambo sanaEngr.Benson Kigaila ndrani ya nyumba, si mchezo 🤣
si kama Lema tu,Kumbe Berson huyu huyu ambaye Taaluma ni Mwalimu ghafla tu amekua Engineer.......... Tanzania ina mambo sana
JamiiForums Moderator Paw Cookie .. wakuu nimewatag hapa ili ifike mahali mtusaidie sisi waanzisha uzi ambao ni kama tunakurupuka. Mtufundishe tofauti ya LIVE na habari ya kawaida. Hii hapa sio live, hii ni habari ya kawaida. Ni sawa na wale wanaokimbilia kuanzisha nyuzi za michezo na kuita live wakati hakuna update yoyote zaidi ya kuambulia final results. Live ni angalau kila baada ya dakika mbili tatu tunaona progress. The same applies here. Haya mkutano wa BAWACHA unaendelea muda huu lakini UPDATE hakuna, sasa nini maana ya live?? Afterwards mwenye uzi atakuja na kuandika results. Let's put this clear.Januari 13 na 16, 2025, mabaraza ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha) na wanawake (Bawacha) yanafanya uchaguzi wa kupata viongozi wake, huku makundi mawili kwenye Uchaguzi ngazi ya Uenyekiti kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu yakitarajiwa kuibua mvutano mkali kuelekea Januari 21 siku ya Uchaguzi.
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA
Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.
Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.
MATOKEO BAZECHA
1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu
Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa
Mwenyekiti
01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204
02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa
Makamu Mwenyekti Bara
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)
03. NECTO KITIGA - 101 (31.7)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5)
06. 02 MKOLLA A MASUD - 32 (10)
- Kutokana na matokeo kuonyesha hamna mgombea aliyefikisha asilimia 50+1, uchaguzi ukarudiwa kwa wagombea wawili;
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU
02. NECTO KITIGA
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
- Baada ya uchaguzi kurudiwa JUMA MOHAMMED NG’ITU akamuunga mkono mshindani wake NECTO KITIGA. Mwenyekiti wa uchaguzi akaitisha kura za ndio na hapana, NECTO KITIGA akashinda kwa kupata kura nyingi za ndio.
Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha 2025:
- Mgombea alikuwa mmoja, akapigia kuwa za ndio na hapana, akashinda ABDALLAH RASHID HAJI kwa kupata kura nyingi za ndio.
- Kinachoendelea katika Uchaguzi BAVICHA Taifa
- Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA
- Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
- BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
- Wakili wa mahakama kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa bavicha chadema leo 14.01.25. Je wakili Wakili Deogratius Mahinyila ni nani ?
- Shangwe la CHADEMA Arusha wakifurahia ushindi wa Deogratius Mahinyila kama Mwenyekiti MPYA wa BAVICHA Taifa
- Video: BAWACHA wamuunga mkono Tundu Lissu hadharani, wasema "Mabadiliko lazima"
- PICHA: Mbowe, Lissu wasalimiana Kibabe katika mkutano wa BAWACHA
Update na Bawacha.Januari 13 na 16, 2025, mabaraza ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha) na wanawake (Bawacha) yanafanya uchaguzi wa kupata viongozi wake, huku makundi mawili kwenye Uchaguzi ngazi ya Uenyekiti kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu yakitarajiwa kuibua mvutano mkali kuelekea Januari 21 siku ya Uchaguzi.
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA
Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.
Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.
MATOKEO BAZECHA
1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu
Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa
Mwenyekiti
01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204
02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa
Makamu Mwenyekti Bara
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)
03. NECTO KITIGA - 101 (31.7)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5)
06. 02 MKOLLA A MASUD - 32 (10)
- Kutokana na matokeo kuonyesha hamna mgombea aliyefikisha asilimia 50+1, uchaguzi ukarudiwa kwa wagombea wawili;
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU
02. NECTO KITIGA
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
- Baada ya uchaguzi kurudiwa JUMA MOHAMMED NG’ITU akamuunga mkono mshindani wake NECTO KITIGA. Mwenyekiti wa uchaguzi akaitisha kura za ndio na hapana, NECTO KITIGA akashinda kwa kupata kura nyingi za ndio.
Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025;
- Mgombea alikuwa mmoja, akapigia kuwa za ndio na hapana, akashinda ABDALLAH RASHID HAJI kwa kupata kura nyingi za ndio.
- Kinachoendelea katika Uchaguzi BAVICHA Taifa
- Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA
- Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
- BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
- Wakili wa mahakama kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa bavicha chadema leo 14.01.25. Je wakili Wakili Deogratius Mahinyila ni nani ?
- Shangwe la CHADEMA Arusha wakifurahia ushindi wa Deogratius Mahinyila kama Mwenyekiti MPYA wa BAVICHA Taifa
- Video: BAWACHA wamuunga mkono Tundu Lissu hadharani, wasema "Mabadiliko lazima"
- PICHA: Mbowe, Lissu wasalimiana Kibabe katika mkutano wa BAWACHA
- VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"
- Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha, Wafuasi wa Lissu na Mbowe wazichapa
BAWACHA hatupati matokeo, hawa na mtk sanaUpdate na Bawacha.