Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Wachawi uitwa wapumbavu sababu ndio viumbe wenye akili finyu kuliko kiumbe yeyeto chini ya jua, maana ujituma kweli kweli kufanya Kazi isiyo na mshahara wala faida si kwao hata kwa Jamii, adhabu yao kuu hukumu ya kifo.
 
Miti na mimea ni antbiotic au antibody dhidi ya uchawi na nguvu za giza
Mkuu; Huo ndo ukweli lakini linakuja tatizo la mazoea yetu ya kupuuzia kwamba miti mingi mathalani ile ya Asili iliyoota nyumbani au karibu-karibu na makazi yetu hatuoni kwamba inaweza kuwa ni yenye faida za kiafya na wala hatujishughulishi kutafuta kutaka kuzijua faida zake kumbe mti-dawa sio lazima mtu aende porini ndani mbali huko inaweza ikawa ipo hapo pembeni mwa nyumba yako na tunaipuuzia na kuidharau eti mbona ipo siku zote haina cha kipekee.
 
Mtu aje atufahamishe siri ya mmea wa mbaazi maana naona kaya nyingi zimepanda huu mmea.
 
Uzi wa waganga wa kienyeji
Sio waganga wakienyeji,sema tu ktk kiswahili sisi ndo hatujatofautisha hawa watu wa hii fani.Pengine hatujapata neno la kisw linalo wafit watu wa hii fani.
Mi napendekeza hivi:
kwakua Daktari wa dawa za viwandani tulisha tohoa kutoka Doctor(eng) kuwa Daktari(kisw),basi neno TABIBU linalo tumika kumtambua Doctor ktk kisw litumike kumtambua Herbalist (daktari anaetibu kwa mimea),badala ya kusema ''uzi wa waganga wa kienyeji'' useme ''uzi wa matabibu'' nasi moja kwa moja tuelewe umewamaanisha Herbalists.
HALAFU,yale maneno Mganga(wa tiba asili,wa jadi,wa kienyeji) yoote yabaki yaki mtambulisha mganga wa ramli na ndumba.
Pia wale waganga wa vitabu kwakua huwa wanatumia nyota na kuchungulia chungulia aura za watu basi ktk kiswahili tuwaite MAMAJUSI.Yaani:
Doctor-.Daktari
Herbalist-Tabibu
Witchdoctor-Mganga,Mganga wa kienyeji n.K
Astrologer-Mamajusi
BAKITA popote mlipo Hiiiii Hola Ciao
 
Sio waganga wakienyeji,sema tu ktk kiswahili sisi ndo hatujatofautisha hawa watu wa hii fani.Pengine hatujapata neno la kisw linalo wafit watu wa hii fani.
Mi napendekeza hivi:
kwakua Daktari wa dawa za viwandani tulisha tohoa kutoka Doctor(eng) kuwa Daktari(kisw),basi neno TABIBU linalo tumika kumtambua Doctor ktk kisw litumike kumtambua Herbalist (daktari anaetibu kwa mimea),badala ya kusema ''uzi wa waganga wa kienyeji'' useme ''uzi wa matabibu'' nasi moja kwa moja tuelewe umewamaanisha Herbalists.
HALAFU,yale maneno Mganga(wa tiba asili,wa jadi,wa kienyeji) yoote yabaki yaki mtambulisha mganga wa ramli na ndumba.
Pia wale waganga wa vitabu kwakua huwa wanatumia nyota na kuchungulia chungulia aura za watu basi ktk kiswahili tuwaite MAMAJUSI.Yaani:
Doctor-.Daktari
Herbalist-Tabibu
Witchdoctor-Mganga,Mganga wa kienyeji n.K
Astrologer-Mamajusi
BAKITA popote mlipo Hiiiii Hola Ciao
Ahaaa umedadavua vema ila ukisikia mganga mkuu wa mkoa unapata picha gani na huyo ni mtumishi wa umma
 
Nmefurahi sana kuuona uzi huu,
Mimi ni mgonjwa wa kisukari, ugonjwa wangu umenikuta ukubwani na ugonjwa huu huja na kupotea, yaani niliumwa ghafla kwenda hospital nkaambiwa nna kisukari nkaanza tiba, baada ya miezi mitatu ukapona kabisa,kwasasa ni miaka mitatu sijawahi ona dalili za ugonjwa huu, maisha yakaendelea kawaida.
Hila ndani ya wiki hii nimeanza kuona tena dalili za ugonjwa huu, nikapima RBG nna 14 mimi si mnene sana, nna kg 78 urefu ft 6.8
Msaada wa dawa za asili juu ya kuponyesha sukari.
Maana hata 30yrs sijafika.
Ua la nyota ya jerusalem,star of jerusalem(jina la kisayansi kuna mdau kaliweka comment za juu huko fanya kusearch),ng'oa lote kuanzia mzizi,shina,majan,na maua,osha chemsha.Tumia kikombe 1*3 kwa siku 14.Kila siku chemsha mpya au weka kweny friji uwe unapasha.

2022-07-19-17-26-26.edit1.edit1.jpg


NB:kama wewe ni Me tumia lenye maua meupe.Kama wew ni Ke tumia lenye maua ya pink.
 
Daktari kuitwa mganga😳😳
kwan huyo mganga mkuu wa mkoa uliemsema wewe si ni Daktari wa madawa ya Hospitali yatokayo kiwandani sema cheo tu ni anawasimamia/anawawakilisha madaktari wengne wote ktk mkoa wapo chini yake??Anawawakilisha wengne kwenye ofisi za mkoa.Au umemaanisha yupi,nieleweshe alichosomea.Neno Tabibu na Mganga yote ktk kisw tunatumia tukimaanisha Doctor.Sas kwakua tayar tulshatohoa neno Doctor kuwa Daktari,ndo nikatoa mawazo yangu ya kubadili matumiz ya Mganga na Tabibu.Kheh!
 
Ua la nyota ya jerusalem,star of jerusalem(jina la kisayansi kuna mdau kaliweka comment za juu huko fanya kusearch),ng'oa lote kuanzia mzizi,shina,majan,na maua,osha chemsha.Tumia kikombe 1*3 kwa siku 14.Kila siku chemsha mpya au weka kweny friji uwe unapasha.
NB:kama wewe ni Me tumia lenye maua meupe.Kama wew ni Ke tumia lenye maua ya pink.
Botanical name for star of Jerusalem or periwinkle ni Vinca rosea
 
kwan huyo mganga mkuu wa mkoa uliemsema wewe si ni Daktari wa madawa ya Hospitali yatokayo kiwandani sema cheo tu ni anawasimamia/anawawakilisha madaktari wengne wote ktk mkoa wapo chini yake??Anawawakilisha wengne kwenye ofisi za mkoa.Au umemaanisha yupi,nieleweshe alichosomea.Neno Tabibu na Mganga yote ktk kisw tunatumia tukimaanisha Doctor.Sas kwakua tayar tulshatohoa neno Doctor kuwa Daktari,ndo nikatoa mawazo yangu ya kubadili matumiz ya Mganga na Tabibu.Kheh!
Nadhani huo ushauri wako ndio wa msingi na unaondoa confussio.
 
Ua la nyota ya jerusalem,star of jerusalem(jina la kisayansi kuna mdau kaliweka comment za juu huko fanya kusearch),ng'oa lote kuanzia mzizi,shina,majan,na maua,osha chemsha.Tumia kikombe 1*3 kwa siku 14.Kila siku chemsha mpya au weka kweny friji uwe unapasha.
NB:kama wewe ni Me tumia lenye maua meupe.Kama wew ni Ke tumia lenye maua ya pink.
Shukrani sana mkuu
 
Kinga ya kulinda nyumba, shamba, biashara chukua maji ya chumvi au weka maji chumvi ya mawe hata lita moja chota chumvi mkono mmoja, tia katika maji kisha yasomee dua mfano surat yassin, au sura zingine. Mkristo yasomee aya za kwenye Biblia mfano kushusha damu ya Yesu ulinzi wa MUNGU, au nia au manuizi yeyeto nguvu ya dua au maombi itaingia kwenye hayo maji mfano hayo maji kugeuka damu ya Yesu kisha tafuta chupa saba namba saba ni ukamilifu.Kisha chimba mashimo saba kuzunguka nyumba, shamba,kwenye biashara yako, fukia,kwenye gari yako funga au weka maeneo saba mfano chini ya chasis au popote ukifanya hivi unakuwa umeikinga mali yako dhidi ya mashambulizi yote toka kwa mawakala wa mashetani ambao ni wezi, wachawi na washirikina nyumba yako, Shamba lako au biashara yako. Maji ya baraka kwenye chupa ukaa milele na nguvu yake udumu milele tofauti na maji ya kumwagia au kunyunyiza hii ukaa kwa mda. Hata kama ni mafuta ya upako yachimbie chini yatanyonya nguvu zote za giza.
 
Kabla ujasafiri au kupanda basi ukichukua ndulele ukaweka mfukoni au kwenye bag hio gari unalosafiri nalo halionekani kwenye radar za wale wapumbavu watoa kafara za ajali ya mabus. Ukiwa ndani ya bus huku mnasafiri ukaomba dua au ukafanya maombi hata ya kimoyo moyo mtafika salama, mtu yeyeto mwenye nguvu ya Mungu au ya dhidi ya nguvu za giza akiwa kwenye bus wachawi hawawezi sababisha ajali wanakuwa awalioni kwenye radar zao, na hata wakifanikiwa kuleta ajali utatoka salama
 
Ni pande ama punje nne?
Ukiona unasumbuliwa na wapumbavu mfano kuota ndoto mbaya, watoto kuweweseka usiku. Weka punje za vitunguu swaumu pande nne chini ya godoro.Utakuwa salama kabisa dhidi ya magonjwa ya kiroho.
 
Ukianika mazao yako mfano mpunga,mahindi,nk ukihisi wapumbavu watachota kupitia kiini macho, chukua ndulele turatura tupia katikati kwenye mazao.

Weka ndulele, au ndimu, au mkaa katika drop ya pesa zako dukani ni kinga dhidi ya wapumbavu pesa zako zitakuwa salama.
 
Back
Top Bottom