Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Njia nyepesi ya kumkamata mwizi mwenye machale wale wezi wenye kinga za kichawi yaani ukiwafata kuwakamata wanapata ishara/ machale wanawahi kuondoka kabla, kumbuka mwizi yeyeto ni lazima awe mchawi uongozwa na jini la wizi. Ukienda msiwe na kitu chochote chenye asili ya chuma mwilini mwenu mfano saa, silaha, panga au chochote, vitu vyenye asili ya chuma vinakuwa ditected kwenye hirizi zao hivyo usepa kabla amjafika.
Pia mwizi mwenye ndumba aumii zaidi ya kuzuga pindi alapo kisago, tumia mti wa muhogo au itafuteni hirizi yake muitoe kwanza ndipo mmpe kipigo. Ukimkamata mchawi Ili aumie mpige na fimbo ya mti wa muhogo ndo ataumia.
Naongezea tu mkuu hata mkiwa na mashaka juu ya kifo cha ndg na jamaa juu kufariki kwake mshikishe marehemu fimbo ya muhogo endapo kama kunamwenye mkono juu ya suala hilo mbona ataomba poo kwa bakora
 
Njia nyepesi ya kumkamata mwizi mwenye machale wale wezi wenye kinga za kichawi yaani ukiwafata kuwakamata wanapata ishara/ machale wanawahi kuondoka kabla, kumbuka mwizi yeyeto ni lazima awe mchawi uongozwa na jini la wizi. Ukienda msiwe na kitu chochote chenye asili ya chuma mwilini mwenu mfano saa, silaha, panga au chochote, vitu vyenye asili ya chuma vinakuwa ditected kwenye hirizi zao hivyo usepa kabla amjafika.
Pia mwizi mwenye ndumba aumii zaidi ya kuzuga pindi alapo kisago, tumia mti wa muhogo au itafuteni hirizi yake muitoe kwanza ndipo mmpe kipigo. Ukimkamata mchawi Ili aumie mpige na fimbo ya mti wa muhogo ndo ataumia.
Naongezea tu mkuu hata mkiwa na mashaka juu ya kifo cha ndg na jamaa juu kufariki kwake mshikishe marehemu fimbo ya muhogo endapo kama kunamwenye mkono juu ya suala hilo mbona ataomba poo kwa bakora
 
Mtoto usiku akiweweseka au ukiwa ujielewi elewi mpake kitunguu saumu au vicks atatulia au hali itakuwa sawa. Kitunguu saumu pia vicks ina uwezo mkubwa Sana wa kufukuza nguvu za giza ndani. Kama nyumba uilewi au umehamia nyumba mpya Choma chumvi ya mawe vitu vichafu vyote vitakimbia.

Majini awapendi harufu ya kitunguu saumu au vicks awakai eneo hilo ni kama ambavyo mwanadamu hawezi kaa penye moshi wa pili pili au kwenye harufu ya mafuta ya taa. Hizi harufu uwakera.
 
Choma pilipili kichaa na chumvi ya mawe ndani usiku kama nyumba uielewe Hakuna kiumbe kitabaki humo ndani.
Mungu alimuumba mwanadamu kamili na akampa mamlaka ya kuvitawala viumbe vyote vinavyoonekana na visiovyoonekana. Japo majini yaliumbwa kabla yetu lakini tumepewa uwezo wa kuyatawala na kuyafukuza, wao Wana makazi yao mapangoni, baharini, maporini huko kuja kwenye makazi yetu huu ni uchokozi
 
Rangi ya kijani kupitia mimea Inayo uwezo wa kuondoa nguvu hasi nyumbani. Kwa utafiti ni nadra Sana nyumba zenye garden zenye mimea mbalimbali au miti kuwa na vurugu au makelele au magomvi ya wanafamilia mfano mume na mke au mzazi na watoto. Rangi ya kijani inafyonza nguvu hasi zote. Ipo mimea itakiwayo kupanda nyumbani inasaidia kuzuia uchawi au nguvu za giza kuwaathiri, wakaazi wa nyumba husika. Jiulize kwann uswahilini panakuwa na vurugu sana. Jibu ni mimea
 
Wadau kuna hili suala muhimu sana piah linahitaji maoni yenu!

Kwa kawaida sijui niseme mazoea au vipi?
Linapotokea suala la msiba, mfano: msiba umetokea sehemu ‘H' na marehemu anatakiwa asafirishwe kwenda sehemu ‘S'. Mfano mkoa hadi mkoa.

Sasa wakati wa safari wakati mwingine huibuka sintofahamu na mauzauza kibao, mara sijui gari imezima ghafla, tairi imekosa upepo mara sijui nini, na mambo mengine kibao.

Sasa kuna namna ya kuzibiti hili suala ili kusiwe na hali kama hiyo njiani.??
Nawasilisha [emoji1666][emoji1666]
 
Wadau kuna hili suala muhimu sana piah linahitaji maoni yenu!

Kwa kawaida sijui niseme mazoea au vipi?
Linapotokea suala la msiba, mfano: msiba umetokea sehemu ‘H' na marehemu anatakiwa asafirishwe kwenda sehemu ‘S'. Mfano mkoa hadi mkoa.

Sasa wakati wa safari wakati mwingine huibuka sintofahamu na mauzauza kibao, mara sijui gari imezima ghafla, tairi imekosa upepo mara sijui nini, na mambo mengine kibao.

Sasa kuna namna ya kuzibiti hili suala ili kusiwe na hali kama hiyo njiani.??
Nawasilisha [emoji1666][emoji1666]
Mara nyingi naona huchaguliwa mtu aliekua anaelewana sana na marehemu na kumtamkia marehemu kwa kumsihi ili asisumbue msafara unaomsindikiza,au huwekwa jiwe dogo tu au udongo toka mkoa anaotaka kupelekwa kama kuna ndugu anatoka mkoa huo kuja msibani anaweza kuja na kimoja wapo ili kabla safari kuanza lile jiwe huwekwa kwenye gari lenye mwili na njia nyingine nyingi kutokana na tamaduni

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Mara nyingi naona huchaguliwa mtu aliekua anaelewana sana na marehemu na kumtamkia marehemu kwa kumsihi ili asisumbue msafara unaomsindikiza,au huwekwa jiwe dogo tu au udongo toka mkoa anaotaka kupelekwa kama kuna ndugu anatoka mkoa huo kuja msibani anaweza kuja na kimoja wapo ili kabla safari kuanza lile jiwe huwekwa kwenye gari lenye mwili na njia nyingine nyingi kutokana na tamaduni

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Aha sawa sawa
Shukrani mkuu
 
Na mimi napandisha hii,
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗱𝗲𝗺𝘂 𝗮𝘂 𝗺𝗸𝗲 𝗻𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝘀𝗶𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗲 𝗱𝗮𝗶𝗺𝗮 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗳𝘂𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗵𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗻𝗷𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗼𝗻𝗱𝗼𝗸𝗲/𝘄𝗮𝘀𝗶𝘁𝗼𝗹𝗼𝗸𝗲, 𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗵𝘂𝗽𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮, 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗲 𝗵𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮,
𝗕𝗮𝘀𝗶 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗴𝗼𝗱𝗼𝗹𝗼 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘂𝗻𝗮𝘆𝗼𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗳𝘂 𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮𝗽𝗼 𝘀𝗲𝘅 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗮𝗸𝗶𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗵𝗮𝘁𝗼 𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝘄𝗲,

𝐍𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐣𝐮𝐦𝐥𝐚 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐢𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐨 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐡𝐮𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐩𝐨𝐥𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐭𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐝𝐞𝐠𝐞, 𝐮𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐭𝐢 𝐮𝐤𝐚𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐢𝐮𝐯𝐮𝐤𝐚 𝐭𝐮 𝐛𝐚𝐬𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐛𝐞𝐛𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐚𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚 ,( kuhusu huyu mnyama nitaulizia jina nitawatajia)

Kama unapita sehemu hatarishi na unaona kabisa kuna watu wabaya mbele kuna mmea au maua furani huota sana maeneo ya nyikani sehemu za tambalale yanaitwa kwa kilugha (𝐈𝐥𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐞) ukiyachuma majani haya na kujipaka maybe kwa kuchanganya na mafuta au kwa kuyafikicha na kujipaka mwili mzima Utapita kama ni mbele ya majambazi au watu wabaya na hawata kudhuru,
Nikipata mda wa kwenda kijijini nitawawekea picha ya majani haya.
 
Na mimi napandisha hii,
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗱𝗲𝗺𝘂 𝗮𝘂 𝗺𝗸𝗲 𝗻𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝘀𝗶𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗲 𝗱𝗮𝗶𝗺𝗮 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗳𝘂𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗵𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗻𝗷𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗼𝗻𝗱𝗼𝗸𝗲/𝘄𝗮𝘀𝗶𝘁𝗼𝗹𝗼𝗸𝗲, 𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗵𝘂𝗽𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮, 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗲 𝗵𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮,
𝗕𝗮𝘀𝗶 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗴𝗼𝗱𝗼𝗹𝗼 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘂𝗻𝗮𝘆𝗼𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗳𝘂 𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮𝗽𝗼 𝘀𝗲𝘅 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗮𝗸𝗶𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗵𝗮𝘁𝗼 𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝘄𝗲,

𝐍𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐣𝐮𝐦𝐥𝐚 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐢𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐨 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐡𝐮𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐩𝐨𝐥𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐭𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐝𝐞𝐠𝐞, 𝐮𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐭𝐢 𝐮𝐤𝐚𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐢𝐮𝐯𝐮𝐤𝐚 𝐭𝐮 𝐛𝐚𝐬𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐛𝐞𝐛𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐚𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚 ,( kuhusu huyu mnyama nitaulizia jina nitawatajia)

Kama unapita sehemu hatarishi na unaona kabisa kuna watu wabaya mbele kuna mmea au maua furani huota sana maeneo ya nyikani sehemu za tambalale yanaitwa kwa kilugha (𝐈𝐥𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐞) ukiyachuma majani haya na kujipaka maybe kwa kuchanganya na mafuta au kwa kuyafikicha na kujipaka mwili mzima Utapita kama ni mbele ya majambazi au watu wabaya na hawata kudhuru,
Nikipata mda wa kwenda kijijini nitawawekea picha ya majani haya.
Shukrani sana mkuu, ikipendeza weka picha za mimea yote uliyotaja.
 
Weka picha ya matunda hayo
Na mimi napandisha hii,
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗱𝗲𝗺𝘂 𝗮𝘂 𝗺𝗸𝗲 𝗻𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝘀𝗶𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗲 𝗱𝗮𝗶𝗺𝗮 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗳𝘂𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗵𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗻𝗷𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗼𝗻𝗱𝗼𝗸𝗲/𝘄𝗮𝘀𝗶𝘁𝗼𝗹𝗼𝗸𝗲, 𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗵𝘂𝗽𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮, 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗲 𝗵𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮,
𝗕𝗮𝘀𝗶 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗴𝗼𝗱𝗼𝗹𝗼 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘂𝗻𝗮𝘆𝗼𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗳𝘂 𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮𝗽𝗼 𝘀𝗲𝘅 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗮𝗸𝗶𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗵𝗮𝘁𝗼 𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝘄𝗲,

𝐍𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐣𝐮𝐦𝐥𝐚 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐢𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐨 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐡𝐮𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐩𝐨𝐥𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐭𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐝𝐞𝐠𝐞, 𝐮𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐭𝐢 𝐮𝐤𝐚𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐢𝐮𝐯𝐮𝐤𝐚 𝐭𝐮 𝐛𝐚𝐬𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐛𝐞𝐛𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐚𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚 ,( kuhusu huyu mnyama nitaulizia jina nitawatajia)

Kama unapita sehemu hatarishi na unaona kabisa kuna watu wabaya mbele kuna mmea au maua furani huota sana maeneo ya nyikani sehemu za tambalale yanaitwa kwa kilugha (𝐈𝐥𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐞) ukiyachuma majani haya na kujipaka maybe kwa kuchanganya na mafuta au kwa kuyafikicha na kujipaka mwili mzima Utapita kama ni mbele ya majambazi au watu wabaya na hawata kudhuru,
Nikipata mda wa kwenda kijijini nitawawekea picha ya majani haya.
 
Back
Top Bottom