Mkuu mashika nguo?Nakupa cha uvunguni kabisa, kuna majani fulani ambayo ukipita njiani hasa vijijini vimbegu vyake vina tabia ya kunasia kwenye suruali viingi kama vimiiba lakini si miiba, chukua majani yake kiasi chemsha siku ya kwanza kunywa kama maji yako, na siku ya pili pia fanya hivyo, utapona.
Nimeshavipata mkuuNakupa cha uvunguni kabisa, kuna majani fulani ambayo ukipita njiani hasa vijijini vimbegu vyake vina tabia ya kunasia kwenye suruali viingi kama vimiiba lakini si miiba, chukua majani yake kiasi chemsha siku ya kwanza kunywa kama maji yako, na siku ya pili pia fanya hivyo, utapona.
Naileta mzee
Mkuu Crocodiletooth hapo kuna aina mbili ni ipi kati ya hizo mbegu huwa zinakuaga za kijani pia hilo jani vimiba vyake vinakuaga vyeusi sema hapo kwenye ua havipo ila jana kuna mahali nimepita nilivona kama hakipo hapo naomba nisahihishe.
Kwa kutumia tiba gani mkuuHuu uzi umefanya nionekane mtaalamu ofisini
Tiba ya utomvu wa papai kutoa hemmaroidKwa kutumia tiba gani mkuu
Mkuu Crocodiletooth hapo kuna aina mbili ni ipi kati ya hizo mbegu huwa zinakuaga za kijani pia hilo jani vimiba vyake vinakuaga vyeusi sema hapo kwenye ua havipo ila jana kuna mahali nimepita nilivona kama hakipo hapo naomba nisahihishe.View attachment 2333579View attachment 2333580
Exactly ndo hizi hizi mkuuMashona nguo ni haya
Kama una tatizo la Asthma, dawa mujarabu ya tatizo hilo ni mmea huitwao mziwaziwa. Uki-Google (Asthma plant) utaona picha yake. Chemsha majani yale na kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 3-5 hilo tatizo litakuwa limeisha.kaka mm nina asthma! naweza tumia dawa gani?
Tumia mziwaziwa (Asthma plant) kwa kuchemsha majani yake. Tumia kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni for 3 consecutive days....kisha leta mrejesho hapa.Wakuu naombeni mnijuze dawa ya kupona kabisa peptic ulcers.
Ndugu zangu tatizo la uoni hafifu linazidi kuwa kubwa siku baada ya siku. Mwenye kujua dawa ya asili ya kupunguza au kusaidia anaweza weka hapa tukafaidika natanguliza shukran.
Angalizo kwa wale wenye Pressure ya kushuka!! Kitunguu swaumu hususha blood pressure, hivyo ni kuwa makini.Na Mimi kwakuongezea kuhusu dawa ya jino linalouma.
Tafuta karafuu punje 10, kipande kidogo chá tangawizi mbichi na punje 5 za kitunguu swaumu(kitunguu ni bora vile vidogovidogo ndio vizur zaid na sio yale makubwa.
Matayarisho.
Menya kipande chá tangawizi na uoshe vizur.
Chambua punje za vitunguu swaumu.
Vyote kwa pamoja karafuu+kitunguu swaum+tangawizi vitangwe mpka vitwangike sana.
Matumizi.
Weka dawa iliyotwangwa sehem yenye jino linalouma lizungushie dawa kwenye pande zote na juu ya jino hilo.
Baada ya kupaka utapatamaumivu makali sana ya muasho ndani ya dakika 10 mpka 20 halafu muwasho utapotea.
Hapa itabidi ustahamili sana tena sana×10.
Fanya zoezi hili ndani ya siku tatu mpka tano.
Note:
Sehemu yenye jino linalouma patafanya ukungu mweupe kama kuchubuka hivi usihofu hali hiyo itapotea baada ya kumaliza matumizi ya dawa.
Muda mzuri ni usiku wakati wakutakakulala ili dawa ikae usiku kucha asubuh utatoa na kufanya shughuli zako.
Jamani uweze kustahamili inawasha sana kutokana na kitunguu swaumu tu.
Nisameheni kwa uandishi mbovu.
Uliza kama hujafahamu.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Oooh mai ribusiHakuna Mitishamba nikimeza or kunywa naweza kusoma coding nikaelewa programming kiulaini [emoji16]
Mwamba anakwepa cjui kwann wakamalia wanataka mambo yawe mepesi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Betting hujamaliza kiongozi?
Kama una tatizo la Asthma, dawa mujarabu ya tatizo hilo ni mmea huitwao mziwaziwa. Uki-Google (Asthma plant) utaona picha yake. Chemsha majani yale na kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 3-5 hilo tatizo litakuwa limeisha.