Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Asante sana ndugu nitafanya hivyoTumia vifuu vya nazi unavichoma vizuri alafu unasaga unga wake ule unakuwa unatumia kunywea kwenye maj glas moja kutwa ×2 kwa sku 14...21 kutegemea muda wa tatzo lako mkuu
Wasalam mkuu. Hii chumvi unaishika nyingi au kiasi ? Na inafanywa wakati gani? Na baada ya kumaliza kutamka hayo naifanyaje hiyo chumvi? Ahsante.Matumizi mazuri zaidi ya chumvi mawe hata kwa mgonjwa aliyeathirika sana na manguvu ya giza, ishike kwenye viganja vyake, elekea magharibi zungumza maneno haya mara 66, MAZJALIN, BAZJALIN. Uone maajabu ya ajabu, infact ni njia rahisi ya kutengeneza maji nathubutu kusema ni zaidi ya maji ya upako.
Unashika kiganjani unaelekea magharibi utaanza na bismilahi, yanafuatia haya mara 66, baadae unaweka kwenye maji yako, unakogea, inaondoa takataka zote!Wasalam mkuu. Hii chumvi unaishika nyingi au kiasi ? Na inafanywa wakati gani? Na baada ya kumaliza kutamka hayo naifanyaje hiyo chumvi? Ahsante.
Aha nasema tu Bismilah kisha haya maneno? Mimi sio muislamu ndio maana nimeuliza.Unashika kiganjani unaelekea magharibi utaanza na bismilahi, yanafuatia haya mara 66, baadae unaweka kwenye maji yako, unakogea, inaondoa takataka zote!
Bismi-illah bismi ni lugha ya ulemi ya kale haina shida kutamka.Aha nasema tu Bismilah kisha haya maneno? Mimi sio muislamu ndio maana nimeuliza.
Matibabu ya Saratani kwa maji moto na Nanasi
Mananasi maji ya moto
Tafadhali sambaza habari!! Tafadhali sambaza habari!!
Profesa wa Hospitali Kuu ya ICBS Dk. Gilbert A. Kwok alisisitiza kwamba ikiwa kila mtu aliyepokea taarifa hii angeweza kupeleka nakala kumi kwa wengine, angalau maisha moja yangeokolewa.
Nimefanya baadhi kwa upande wangu, natumaini unaweza pia..
Asante!
Maji ya moto ya mananasi yataokoa maisha yako
Nanasi la moto huua seli za saratani.
Kata vipande 2 hadi 3 vya mananasi kwenye kikombe na kuongeza maji ya moto, itakuwa "maji ya alkali", ikiwa utakunywa kila siku, ni nzuri kwa kila mtu.
Nanasi moto hutoa vitu vya kuzuia saratani, maendeleo ya hivi karibuni katika dawa kwa matibabu bora ya saratani.
Matunda ya joto ya mananasi yana athari ya kuua cysts na tumors. Imethibitishwa kutibu aina zote za saratani.
Maji ya moto ya nanasi huondoa vijidudu na sumu zote mwilini kutokana na mizio/mizio.
Dawa inayotokana na juisi ya nanasi huharibu tu seli kali na haiathiri seli zenye afya.
Pia, asidi ya amino na polyphenols ya mananasi katika juisi ya nanasi inaweza kudhibiti shinikizo la damu, kuzuia kuziba kwa mishipa ya ndani ya damu, kuboresha mzunguko wa damu na kupunguza kuganda kwa damu.
Baada ya kusoma, waambie wengine, familia, marafiki, jali afya yako.
Hayo tunayaita mashona nguo auNakupa cha uvunguni kabisa, kuna majani fulani ambayo ukipita njiani hasa vijijini vimbegu vyake vina tabia ya kunasia kwenye suruali viingi kama vimiiba lakini si miiba, chukua majani yake kiasi chemsha siku ya kwanza kunywa kama maji yako, na siku ya pili pia fanya hivyo, utapona.
Shukran chief kwani sikupewa taarifa yoyote na hata taarifa hii ndo naipata baada ya kuajiliwa..Salaam Mkuu,
JamiiForums HAIRUHUSU kukusanya taarifa na namba za simu za watumiaji wake. Kama kuna cha kujadili kiweke hapa jukwaani sio kuhamisha watu watoke jukwaani.
Asante.
Hot Pineapple Water Will Not Cure Cancer, Viral Claim Is False
ByPankaj Menon
August 24, 2022
0
5244
While the scientific community continues to research the cure for cancer, a viral social media post claims to have found a cure that has “defeated cancer”- hot pineapple water. According to the viral message circulating in WhatsApp groups, adding a few slices of chopped pineapple to hot water and drinking this mixture can help boost the body’s ability to fight the disease. Newschecker has found the claim to be false.
Bism.Aha nasema tu Bismilah kisha haya maneno? Mimi sio muislamu ndio maana nimeuliza.
Kweli mkuu hiyo siyo sumu ni chakula ila ni tahadhari tu kwa wenye Tatizo la cancer kwamba bado Utafiti unaendelea ili kuhakikisha. Asante kwa angalizo.KU
KUNA WATAKAOCHUKIA JUU YA SUALA LA AINA HII,NADHANI NI RAHISI KUWAFAHAMU.LET KEEP IN RESERCH KWA JAMBO LENYEWE SIO SUMU.
Nakipataje?Top secrete hidden book which is banned explain. View attachment 2345250
Ukipata jibu unikumbuke mkuu.Nakipataje?