Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

ni kwamba magoti hayana UTE kabisa anatembea kwa shida sana mpaka anasikia maumivu makali
Natambua hilo mkuu,hats kama sio mnene sana apunguze kabisa uzito kwanza. Vyakula vyenye omega 3, mfano parachichi,au matunda yasiyo na acidity,na maji mengi.
 
Kama kuna mtu ana afya ya kusuasua, mwili uliokondeana, chukua matunda ya muegeya yakaushe kisha saga na tumie kama lishe kila siku kijiko kimoja cha chakula kwenye uji halafu njoo na majibu yetu hapa mkuu.
Mtu akitumiwa kwenye chai au chakula chochote kuna tatizo? Kuna namna na muda ya kulichuma?
 
Naona inafanana huo mji kwa kila kitu,ipo vipi sana huu mti?
Huo muegea ni mti na unakuwa mkubwa sana tu. Lakini dodoki linamuwa kwa kutambaa kama maboga. Kama sijakosea muegea kitaalamu unaitwa kigeria africana
 
At least umenena kiasi maana ni kitabu kwelikweli jinsi nilivyokiomba Kwa bidii toka uturuki, nathubutu kusema hiki kitabu ni mwisho wa matatizo!kukigawa naona kama mtu anataka kunikata kichwa.utafika ngapi? Taja mwenyewe?
Kweli mkuu bora ukiuze tu mi mwenyewe nilikipataga kwa pesa enzi izo ni vigumu kukipata sana
 

Attachments

  • Screenshot_20220919-234723_Office.jpg
    Screenshot_20220919-234723_Office.jpg
    72 KB · Views: 138
Huo muegea ni mti na unakuwa mkubwa sana tu. Lakini dodoki linamuwa kwa kutambaa kama maboga. Kama sijakosea muegea kitaalamu unaitwa kigeria africana
Asante sana,nimekuelewa!
 
Msaada wenu wanajamvi.

1. Ipi tiba ya kichomi? Hali hii hunipata upande wa kushoto, pale napofanya mazoezi ya kukimbia au kutembea umbali mrefu kwa haraka.

2. Na tiba ya maumivu mf. wa uchovu wa misuli kwenye misuli ya bega la kushoto. Kuanzia shingoni kwenda ukanda wote wa bega la kushoto.
Fanya hijama yaani kuumika kutoa damu chafu mwilini au kama ulipo kuna hospital za kikorea wanafanya sana hiyo..
Ukiweza tafuta dawa uharishe na kutapika utatoa sumu mwilini.
 
Weka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.

Practical and effective

Easy to perform.

Cheap and commonly available ingreduents

No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.

Only 55 pages.

No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.

If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.

Crocodiletooth
 

Attachments

  • Screenshot_20220920-171206_1.jpg
    Screenshot_20220920-171206_1.jpg
    20.8 KB · Views: 118
Weka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.

Practical and effective

Easy to perform.

Cheap and commonly available ingreduents

No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.

Only 55 pages.

No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.

If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.

Crocodiletooth
Niuzie mkuu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom