Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
-
- #761
Natambua hilo mkuu,hats kama sio mnene sana apunguze kabisa uzito kwanza. Vyakula vyenye omega 3, mfano parachichi,au matunda yasiyo na acidity,na maji mengi.ni kwamba magoti hayana UTE kabisa anatembea kwa shida sana mpaka anasikia maumivu makali
Mtu akitumiwa kwenye chai au chakula chochote kuna tatizo? Kuna namna na muda ya kulichuma?Kama kuna mtu ana afya ya kusuasua, mwili uliokondeana, chukua matunda ya muegeya yakaushe kisha saga na tumie kama lishe kila siku kijiko kimoja cha chakula kwenye uji halafu njoo na majibu yetu hapa mkuu.
Huu Muegeya si ndio hayo matunda yake yatumika pia kutoa zile sponge za kuogea,dodoki?Kwa walioulizia muegeya ndio huu hapa, wengine wanauita Mvunge.
View attachment 2276653View attachment 2276654
HapanaHuu Muegeya si ndio hayo matunda yake yatumika pia kutoa zile sponge za kuogea,dodoki?
Hapana
Naona inafanana huo mji kwa kila kitu,ipo vipi sana huu mti?Hapana
Nadhani si tiba ya kiganga ya kuitaji masharti mkuu.Mtu akitumiwa kwenye chai au chakula chochote kuna tatizo? Kuna namna na muda ya kulichuma?
Huo muegea ni mti na unakuwa mkubwa sana tu. Lakini dodoki linamuwa kwa kutambaa kama maboga. Kama sijakosea muegea kitaalamu unaitwa kigeria africanaNaona inafanana huo mji kwa kila kitu,ipo vipi sana huu mti?
Kweli mkuu bora ukiuze tu mi mwenyewe nilikipataga kwa pesa enzi izo ni vigumu kukipata sanaAt least umenena kiasi maana ni kitabu kwelikweli jinsi nilivyokiomba Kwa bidii toka uturuki, nathubutu kusema hiki kitabu ni mwisho wa matatizo!kukigawa naona kama mtu anataka kunikata kichwa.utafika ngapi? Taja mwenyewe?
THE BOOK OF GOLD[emoji428]Kweli mkuu bora ukiuze tu mi mwenyewe nilikipataga kwa pesa enzi izo ni vigumu kukipata sana
Asante sana,nimekuelewa!Huo muegea ni mti na unakuwa mkubwa sana tu. Lakini dodoki linamuwa kwa kutambaa kama maboga. Kama sijakosea muegea kitaalamu unaitwa kigeria africana
Awe anakula sana rojo la bamia au supu za kongoro za ng'ombeNina mdogoangu ana upungufu wa ute kwenye magoti. Anasikia maumivu makali sana hasa wakati wa mvua.
msaada
Fanya hijama yaani kuumika kutoa damu chafu mwilini au kama ulipo kuna hospital za kikorea wanafanya sana hiyo..Msaada wenu wanajamvi.
1. Ipi tiba ya kichomi? Hali hii hunipata upande wa kushoto, pale napofanya mazoezi ya kukimbia au kutembea umbali mrefu kwa haraka.
2. Na tiba ya maumivu mf. wa uchovu wa misuli kwenye misuli ya bega la kushoto. Kuanzia shingoni kwenda ukanda wote wa bega la kushoto.
Niuzie mkuuKweli mkuu bora ukiuze tu mi mwenyewe nilikipataga kwa pesa enzi izo ni vigumu kukipata sana
Wewe tu nimekupm tayari 🙂Niuzie mkuu
Kwann mkuu...! Nasi tunashida nachoNB.
NOT FOR SALE, asije mtu pm
Boom🌟🌟🌟Kwann mkuu...! Nasi tunashida nacho
Niuzie mkuuWeka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.
Practical and effective
Easy to perform.
Cheap and commonly available ingreduents
No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.
Only 55 pages.
No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.
If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.
Crocodiletooth