Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Msaada dawa ya Meno kufa ganzi. hasa nikila matunda kama chungwa nanas au nikinywa maji
 
Kama unasumbuliwa na mapepo au uchawi nyakati za usiku

Chukua mkasi na uweke katika Bible, kwenye zaburi 91 na baada ya kuweka mkasi chukua Bible na uweke chini ya mto alafu lala, utanishukuru baadae
Huo mkasi unaweka kila siku au siku moja tu
 
Msaada jamani dawa ya kurudisha hali ya mzunguko wa kawaida wa hedhi..mana kuna kipindi inatoka hata zaidi ya wiki 2.

Pia kuna kipindi inatoka kidogo tu hata siku 2 inakata.

Vipimo vya hospitali vinasema sina tatizo zaidi ya hormonal imbalance nilishawahi tumia sindano za uzazi wa mpango kama miaka miwili nyuma.

Msaada nipo katikati hili.
 
TIBA YA KUTOA MIKOSI NA NUKSI NA KULETA MVUTO KATIKA MWILI.

Saga ulezi Kwa pamoja na chumvi ya mawe na ubani makka na udi marashi Kisha utakuwa unaoga na kujifukiza kutwa mara 2 Kwa mda wa siku 14 Kwa manuizi Yako ya kutoa mikosi na nuksi na kuleta mvuto katika mwili wako

 
Swaum
Turmeric manjano
Tangawizi
Karafuu
Grinds kwa kiasi weka kwenye chupa uwe unakunywa lakini iache kwenye chupa kwa muda wa siku tatu ndio uwe unatumia,tumia kwa kiasi vijiko 4,ukizidisha utaumwa na kichwa,pia husaidia kwa wenye shida ya urijali.
Utapona anza Mara moja.siku zako zitakaa kwenye msitari usiobadilika.
 
DAWA YA U.T.I SUGU NA YENYE KUJIRURUDIARUDIA;-
MAHITAJI
Mchaichai
Vitunguu swaumu viwili
Vitunguu maji viwili
Manemane vijiko viwili
Tangawizi ndogo 5 zikiwa kubwa chukua 3
Unga wa mbegu za mlonge vijiko 3
Mbegu za Zamda vijiko 2
Mdalasini wa magome kiasi
Shubiri nusu kijiko cha chakula au kijiko kimoja cha chai
Changanya mchanganyo huo kwenye maji lita 3 chemsha mpaka ibakie lita mbili au mbili na nusu kisha chuja vizuri.
MATUMIZI;- kunywa kikombe cha kahawa Asubuhi kabla hujala chochote ,mchana na jioni (kutwa mara 3
mpaka itakapoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…