Tafuta mafuta ya mzaituni, ponda punje Tatu za swaumu changanya na mafuta hayo.
*wakati wa kulala usiku sema neno, ELOI ALEPH-TAV mara tatu, jipake nyayoni lala, utalala kwa raha sana na baadhi ya magonjwa yatakuondoka utashangaaa rudia kila siku na iwe ni mazoea utafurahi sana.
(Jewish medicine)
N. B, Nitakuja kueleza hapa kwa nini Jews hufanikiwa sana and what they do?
Fanya vyovyote iwe kuuchimbia au kuweka kwenye chupa ila usiigunge chupa na kizipo maanake utakuwa umeiziba dawa isifanye kazi.
Wakubali ili madawa na mashine za mionzi zikose soko?Hot Pineapple Water Will Not Cure Cancer, Viral Claim Is False
ByPankaj Menon
August 24, 2022
0
5244
While the scientific community continues to research the cure for cancer, a viral social media post claims to have found a cure that has “defeated cancer”- hot pineapple water. According to the viral message circulating in WhatsApp groups, adding a few slices of chopped pineapple to hot water and drinking this mixture can help boost the body’s ability to fight the disease. Newschecker has found the claim to be false.
Asante sana huu mti nimeupanda kila eneo langu ninalomiliki. Mimi hasa nautumia kulisha mifugo kama sungura, mbuzi na ng'ombe. Nilijaribu mbegu zanke ila ile ladha yake ilinishinda.Usingekopi na kupesti ingependeza zaidi, nitazungumzia hapa mti ambao huzaa matunda yanayofanana na jamii za kunde japo yenyewe ni marefu zaidi, mbegu zake ni dawa, majani yake ni chakula na dawa nzuri sana pia, mti huu ni mlonge(mti wa maajabu).
Endapo utatumia majani yake kila siku utazisahau dawa za hosipitali, huu si utani.
Hilo nalo Neno.Wakubali ili madawa na mashine za mionzi zikose soko?
Mkuu Sasa kwanini usiweke kwa lugha isiyoeleweka kwa wengi?Ni kitunguu swaumu mkuu[emoji120]
Sijaelewa point yko mkuu?Mkuu Sasa kwanini usiweke kwa lugha isiyoeleweka kwa wengi?
Majani yake unayatumia kivipi na yanatibu maradhi gani... elezea kwa uchacheUsingekopi na kupesti ingependeza zaidi, nitazungumzia hapa mti ambao huzaa matunda yanayofanana na jamii za kunde japo yenyewe ni marefu zaidi, mbegu zake ni dawa, majani yake ni chakula na dawa nzuri sana pia, mti huu ni mlonge(mti wa maajabu).
Endapo utatumia majani yake kila siku utazisahau dawa za hosipitali, huu si utani.
Acha aende, usipende kulazimisha mambo sana. Utakuja kupata matatizo ujute.Nahitaji gwiji kweli kweli wa kurudisha mpenzi aliyenikataa.
Matumizi yake yakoje??Watu wenye shida ya kushika mimba, watu wenye maumivu ya tumbo wakati wa hedhi.
Unachemsha unakunywa kabla ya ovulation kwa mtu mwenye uhitaji wa kushika ujauzitoMatumizi yake yakoje??
#MaendeleoHayanaChama
Unataka mwili mzima uwe laini?Huu mchanganyiko unaweza paka mwili mzma??
Wewe ulikataa kuwapa watu kitabu ulichoamini kina siri za mambo mengi ukitaka kulipwa ili watu wasifaidi bure, ila uko hapa kuomba msaada wa bure.Huo mchanga nafukia Mlangoni au namwaga/nanyunyiza?