Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

hii miti pwani siioni kbsa ila upande wa nyumban mwanza ipo mingi tu
 
Bitter melon majani
Hutumika kufukiza majini
Tumia kumuogeshea mtoto asipatwe na nguvu za Giza
Yaweke kwenye maji..pigia deki kwenye nyumba au eneo la biashara kuondoa Giza lolote lile.
Tumia kuongea kusafisha mwili wako
Unaweza weka majani Kona za nyumba kuepusha ubaya wa nguvu za Giza
Weka Jani chini ya mto kukomesha wanga na majini wanaoattack usiku.

Matunda yake husaidia kueka level ya sukari kua sawa


 
Ila mambo ni mengi unaambiwa wanyamwezi wanayodawa ukiwapa watoto wafupi wanakuwa warefu badae .pia waha wana majani wakilisha mbuzi au binadamu lazima azae mapacha
 
Jamani msaada wenu.

Ninasumbuliwa na kitu kooni ni kama kohozi limekwama hivi, ukimeza halimezeki, ukijikoholesha litoke halitoki hata ukijitapisha halitoki, yanatoka mate mazito kidogo ivi ila bado tu naskia bado lipo.

Kuna muda(mwezi au miezi) hua linapotea kabisa kuna muda linarudi.

Dawa nilizowahi kutumia:-

Amplicox
Metronidazole + Amoxilin + Omeprazole
Predinisolene (kama sijakosea spelling)
Vitamin B



Je nifanyeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…