Ni muda tangu nimekueleza tiba mbadala ya tatizo lako, hali ikoje kwa sasa kama ulitumia?Ahsante sana hicho kitunguu maji kinasaidia nini? Hamna dawa sasa ya kulimaliza? Mbali na hayo maelekezo ya kusafisha damu??
Tafuteni mapera yalioiva saanaa ale ili aharishe mkuu utakuja nashukuru.Wakuu nina ndugu yangu ameenda hospital ameambiwa kongosho lake halitemi vizuri na hali iliyopelekea macho kuwa ya njano na mwili kupungua kwa kasi sababu tumbo lilikua linajaa gesi hivyo chochote atakacho kula atakitoa na zaidi hivyo kawa dhaifu sana.
Nisaidieni mimea ipi au matunda gani atapata Tiba
Crocodiletooth Magical power BIN NUN
na wakuu wengine majina yamenitoka.
UmerogwaKwanini? Sio kwamba linatokea na kupona nakaa hata mwaka au miaka miwili ndio linarudi tena....nmerogwa nini[emoji16][emoji16]
Kama uko na wazee wakienyeji waambie wakufanyie ile tiba ya kutoa dawa chafu/KUUMIKA..Sehemu hiyo hiyo moja hii sasa linarudi kwa mara tano[emoji22][emoji22]
Uhuni gani tena jamani 😁Kama uko na wazee wakienyeji waambie wakufanyie ile tiba ya kutoa dawa chafu/KUUMIKA..
AU tafuta hospital zile za wakorea/wachina utachomwa visindano vingiii kutoa damu chafu..
Anzia hapo Kwanza maana Kila mwezi Kuna siku mbili damu huwa chafu huwa inatakiwa kwa mwezi KUUMIKA Mara mbili..(hii kisuna)zaidi..
2.Kitunguu maji kishaelezwa sana au limao kitoboe Kisha Tia maji ya limao linakufa mazimaa likirudia basi safisha damu ......ila punguza uhuni[emoji23]
Inabidi namie nitafute mganga konkiUmerogwa
Hapana...Inabidi namie nitafute mganga konki
Mimea ipi ipo against nguvu za Giza mfano kuzuia wachawi mashambani,mtu mbaya home
Ni swaliEndeleza maelezo kwa kina
Nasubiri majibu yaje...Waungwana naulizia dawa ya kisukari, mgonjwa alikatwa kidole kidogo cha mguu mara ya kwanza, sasa hivi kimetokea kidonda kwenye kidole gumba cha mguu mwengine, anahofu ya kukatwa tena maana kimechimba sana... ajuaye dawa please msaada.
Ukipata utatusaidia , nina aleji na maziwa au bidhaa yeyote iliyotengenezwa na maziwa, nyanya kiungo cha mboga na Nyama, utakuwa umenisaidia sanaKuna dawa Moja nilipewa juzikati aiseeehhh ile dawa I salute Ninoumaa!!
1. Inatibu Aleg ya nyama... 2.Ni lubricant kwa wanawake wakavu kunako bibi 3. Inasaidia watoto wadogo waoshtuka shtuka 4.Minyoo kwa watoto na wakubwa yani ni nzuri sana nimepanda kuku wamekula hata haijamea vizuri naitafuta tena nikiipata ntaipiga picha
Usijali mkuu inapatikana muda wowote ngoja ni mie tu kumtafuta yule mmama aliyenisaidia!! ipo effective sanaUkipata utatusaidia , nina aleji na maziwa au bidhaa yeyote iliyotengenezwa na maziwa, nyanya kiungo cha mboga na Nyama, utakuwa umenisaidia sana
Nashukuru sana kwa utayari wakoUsijali mkuu inapatikana muda wowote ngoja ni mie tu kumtafuta yule mmama aliyenisaidia!! ipo effective sana