Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Wakuu nina ndugu yangu ameenda hospital ameambiwa kongosho lake halitemi vizuri na hali iliyopelekea macho kuwa ya njano na mwili kupungua kwa kasi sababu tumbo lilikua linajaa gesi hivyo chochote atakacho kula atakitoa na zaidi hivyo kawa dhaifu sana.
Nisaidieni mimea ipi au matunda gani atapata Tiba
Crocodiletooth Magical power BIN NUN
na wakuu wengine majina yamenitoka.
 
Wakuu nina ndugu yangu ameenda hospital ameambiwa kongosho lake halitemi vizuri na hali iliyopelekea macho kuwa ya njano na mwili kupungua kwa kasi sababu tumbo lilikua linajaa gesi hivyo chochote atakacho kula atakitoa na zaidi hivyo kawa dhaifu sana.
Nisaidieni mimea ipi au matunda gani atapata Tiba
Crocodiletooth Magical power BIN NUN
na wakuu wengine majina yamenitoka.
Tafuteni mapera yalioiva saanaa ale ili aharishe mkuu utakuja nashukuru.
India wanafanya Sanaa hi.
 
Sehemu hiyo hiyo moja hii sasa linarudi kwa mara tano[emoji22][emoji22]
Kama uko na wazee wakienyeji waambie wakufanyie ile tiba ya kutoa dawa chafu/KUUMIKA..
AU tafuta hospital zile za wakorea/wachina utachomwa visindano vingiii kutoa damu chafu..
Anzia hapo Kwanza maana Kila mwezi Kuna siku mbili damu huwa chafu huwa inatakiwa kwa mwezi KUUMIKA Mara mbili..(hii kisuna)zaidi..

2.Kitunguu maji kishaelezwa sana au limao kitoboe Kisha Tia maji ya limao linakufa mazimaa likirudia basi safisha damu ......ila punguza uhuni[emoji23]
 
Kama uko na wazee wakienyeji waambie wakufanyie ile tiba ya kutoa dawa chafu/KUUMIKA..
AU tafuta hospital zile za wakorea/wachina utachomwa visindano vingiii kutoa damu chafu..
Anzia hapo Kwanza maana Kila mwezi Kuna siku mbili damu huwa chafu huwa inatakiwa kwa mwezi KUUMIKA Mara mbili..(hii kisuna)zaidi..

2.Kitunguu maji kishaelezwa sana au limao kitoboe Kisha Tia maji ya limao linakufa mazimaa likirudia basi safisha damu ......ila punguza uhuni[emoji23]
Uhuni gani tena jamani 😁

Nilipiga combination ya antibiotics za kufa mtu likaishia
 
Pressure hasa ya kupandaa
Tafuta maua hayo chuma chemsha uww wanywa mpaka siku 11..
Ni mjarabu.
Rudia rudia dawa unapoona mabadiliko.
IMG_20230827_132839_0~2.jpg
 
Waungwana naulizia dawa ya kisukari, mgonjwa alikatwa kidole kidogo cha mguu mara ya kwanza, sasa hivi kimetokea kidonda kwenye kidole gumba cha mguu mwengine, anahofu ya kukatwa tena maana kimechimba sana... ajuaye dawa please msaada.
 
Waungwana naulizia dawa ya kisukari, mgonjwa alikatwa kidole kidogo cha mguu mara ya kwanza, sasa hivi kimetokea kidonda kwenye kidole gumba cha mguu mwengine, anahofu ya kukatwa tena maana kimechimba sana... ajuaye dawa please msaada.
Nasubiri majibu yaje...
 
Kuna dawa Moja nilipewa juzikati aiseeehhh ile dawa I salute Ninoumaa!!


1. Inatibu Aleg ya nyama... 2.Ni lubricant kwa wanawake wakavu kunako bibi 3. Inasaidia watoto wadogo waoshtuka shtuka 4.Minyoo kwa watoto na wakubwa yani ni nzuri sana nimepanda kuku wamekula hata haijamea vizuri naitafuta tena nikiipata ntaipiga picha
 
Kuna dawa Moja nilipewa juzikati aiseeehhh ile dawa I salute Ninoumaa!!


1. Inatibu Aleg ya nyama... 2.Ni lubricant kwa wanawake wakavu kunako bibi 3. Inasaidia watoto wadogo waoshtuka shtuka 4.Minyoo kwa watoto na wakubwa yani ni nzuri sana nimepanda kuku wamekula hata haijamea vizuri naitafuta tena nikiipata ntaipiga picha
Ukipata utatusaidia , nina aleji na maziwa au bidhaa yeyote iliyotengenezwa na maziwa, nyanya kiungo cha mboga na Nyama, utakuwa umenisaidia sana
 
Back
Top Bottom