Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh! Si mchezo
Asante sana Mkuu kwa Elimu yote hii.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Siyo masiala kabisaVifaranga hapo ni kuvichoma ndio hutoa majivu,,ila yote kwa yote ni balaaaa,hizi elimu kama kichwa kidogo unakuwa chizi aiseeee.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Dawa ya sili ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi jamani ni nini tusaidiane?
mi nikifanya Mara 1 nakaa wiki 2 sina hamu tena![emoji3062][emoji3062][emoji29][emoji29]
Hiyo Dk sule Alisha ieleza , tafuta chupa isio pitisha mwanga Kisha weka kitambaa Cha hedhi,funga chupa Yako ,ifukie chini kwamanui kua unafunga uzazi kwa mda wote ambao chupa hiyo imefungwa . Kufungua ni ni kuifungua chupa yenyewe.Kama kuna mwenye kujua dawa za asili za kufunga kizazi (mwanamke asishike ujauzito) atusaidie.
Haya madawa ya hospital sio rafiki kwa afya za wake zetu
Mfano chupa kama ile ya energy inakua nyeusi ama chupa ganHiyo Dk sule Alisha ieleza , tafuta chupa isio pitisha mwanga Kisha weka kitambaa Cha hedhi,funga chupa Yako ,ifukie chini kwamanui kua unafunga uzazi kwa mda wote ambao chupa hiyo imefungwa . Kufungua ni ni kuifungua chupa yenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, chupa iwe ya kioo. Sio haya ma plastic.Mfano chupa kama ile ya energy inakua nyeusi ama chupa gan
Kwahiyo iwe ya rangi na sio nyeupe transparent
Asante nduguHiyo Dk sule Alisha ieleza , tafuta chupa isio pitisha mwanga Kisha weka kitambaa Cha hedhi,funga chupa Yako ,ifukie chini kwamanui kua unafunga uzazi kwa mda wote ambao chupa hiyo imefungwa . Kufungua ni ni kuifungua chupa yenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mwanaume au mwanamke?
Kama mwanaume
Kama mwanaume kunywa juice ya tende iliyichanganywa na maziwa
Eee unatoa vile vimbengu unasagaKuna juice ya tende kumbe
Naomba matibabu ya pumu kiongozi,inatesa Sana wanangu.Iyo ni pumu
Tafuta majani ya kisamvu yale ya mwisho kabisa yanayojichipukia ya juu.Naomba matibabu ya pumu kiongozi,inatesa Sana wanangu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Naomba nielekeze vizuri hii tena ikiwezekana hatua kwa hatua nataka kuifanya, ili nisije changanya mambo ROCKY CITYVifaranga hapo ni kuvichoma ndio hutoa majivu,,ila yote kwa yote ni balaaaa,hizi elimu kama kichwa kidogo unakuwa chizi aiseeee.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Shukrani ila kulipata hilo tunda ni mtihani huku nilipoChukua tunda la muegea saga upate unga wKe uwe unaweka kijiko kimoja cha chakula kwenye uji 1X2 adi pale utakapo pata mwili unao utaka.
Usisahau kuleta mrejesho apa