Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

kama uchafu hatoki na hospital amewah kwenda akakosa UTI (nimewah experience kuumwa kama la period na uchafu hamna ila ilikuwa UTI nilipewa dawa nikapona) na kama hana PID (hii huambatana sana na kutokwa uchaf).

Kama vyote hamna ila anashiriki sex, ajichuguze style ambazo wanatumia
kuna style sio rafiki kwa kizazi, ukimaliza kesho yake utaumwa tumbo kama siku mbili maumivu kama ya period yale yale then lita acha akirudia tena hyo style kuumwa ni kule kule na litaacha tena (hapa naongea kwa experience kuna ma style ni ya kuyaacha tumbo linauma baada)

na kama hyo sio pia aende kwa specialist wa wanawake kabisa .
 
Msaada tutani dawa ya hii hali shingon kwa mtoto inamjda mrefu anatumia dawa inapoa akiacha inarudView attachment 2329977
Pengine hii ni pumu ya ngozi, tunaita Kiguma.

Dawa yake sasa, unamkamata mnyama anaitwa kima huko kwenye mapori na misitu. Unamchoma hadi anakuwa majivu.

Then yale majivu unayasaga upate unga laini.

Huo unga ndo unampaka sehem iliyoathirika, unaweza kuchanganya na mafuta kidogo.

Halafu unga mwingine analamba.
Baada ya siku chache tu utaanza kuona mabadiliko makubwa. Baada ya almost wiki 2 utasahau kama huyo mtoto aliwahi kuumwa huo ugonjwa.

Ukienda upareni utakuta hiyo dawa ipo ready made, ni wewe kununua tu kwenye magulio.
 
kama uchafu hatoki na hospital amewah kwenda akakosa UTI (nimewah experience kuumwa kama la period na uchafu hamna ila ilikuwa UTI nilipewa dawa nikapona) na kama hana PID (hii huambatana sana na kutokwa uchaf).

Kama vyote hamna ila anashiriki sex, ajichuguze style ambazo wanatumia
kuna style sio rafiki kwa kizazi, ukimaliza kesho yake utaumwa tumbo kama siku mbili maumivu kama ya period yale yale then lita acha akirudia tena hyo style kuumwa ni kule kule na litaacha tena (hapa naongea kwa experience kuna ma style ni ya kuyaacha tumbo linauma baada)

na kama hyo sio pia aende kwa specialist wa wanawake kabisa .
Asantee mchango wako mkuu
 
Wadau eti humu kuna mtu anajua huu mmea na faida zake kiafya?
FB_IMG_1672556103490.jpg
 
Jinsi ya kujiponya bawasili

MWANZO.
Watu wengi wamekuwa wakihangaika na ugonjwa wa bawasiri bila ya mafanikio ya kupona na wengine huwapelekea kuzoea tatizo hili na kuona ni tatizo la kawaida na la mazoea limeshakuwa kuwa kwao kutokana na kukata kwao tamaa,

Yote hii husabishwa na kujitibu kwa muda mrefu bila mafanikio, lakini ukibahatika kuona darasa hili basi waweza kuwa umepona ewe mgonjwa wa tatizo hili;

Ufahamu kwanza ugonjwa huu:

Bawasiri ni ugonjwa ambao husababisha vijinyama kutoka nje ya tundu la haja hubwa na kutanuka kuunda mfumo kama wa utumbo ambao huchomoza na kuonekana ni utumbo na kiswahili watu husema ugonjwa wa kujisaidia na utumbo kutoka nje kwa kingereza huitwa hemorrhoids.

Chanzo chake:

Ugonjwa huu huja kwa vyanzo viwili moja ni kama maradhi ya hospitali na yapili ni kama maradhi ya malogo au kulogelezewa.

KAMA HOSPITALI:

Wanavyodai watu wa hospitali au watu wa science ya mwili wa mwanadamu source ya bawasili ni kama ifuatavyo:

*Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu.

*Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa.

*Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile.

*Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.

*Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.

*Kuharisha sana kwa muda mrefu

*Kutumia vyoo vya kukaa

*Kunyanyua vyuma vizito

*Mfadhaiko/stress

*Uzito na unene kupita kiasi nk

Hizo ni baadhi za according za wanasayansi japo still bado hawajaelewa vema where is this come from.. hii ni kwa upande wa kihospitali,

Dalili za bawasiri according to hospital:

*Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa

*Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia

*Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa

*Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa

*Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

Dalili za bawasili according to spiritual

*Ugonjwa hutokea ghafla bila dalili.

*Kutoka maji hovyo bila kipimo

*kutokwa na damu na kuvimba hilo dude hovyo na kusinyaa ghafla
kutoa malenda lenda sehemu hizo,

*haikukumbi athari zake hadi uwe mbele za watu

*usiku ukilala unaota unaingiliwa au kubakwa iwe mwanaume au mwanamke

*kuhisi wakati wa kuvuja damu kama mtu au kitu kinanyonya hapo

* kuambiwa kila aina ya dawa na kutumia zote bila mafanikio.

TIBA YAKE:
Ikiwa utatibiwa hospitali na ugonjwa umekaa muda mrefu basi itakulazimu ufikie decision ya kukubali kupasuliwa ambapo kama ni tatizo la kishirikina litapungua kwa kasi kubwa sana na baada kuanza upya kwa nguvu zaidi lakini ikiwa ni la kawaida basi ukipasuliwa ndio umepona na kupewa vidonge vya kukausha hili tatizo..

Pale ambapo litaanza tena basi jua ni mazingara yanafanya kazi na ili uweze kutibia inabidi kitu cha kwanza ujue je, bawasili uliyonayo ni ya ndani au ya nje?

Kama ni ya ndani basi kupona kwake ni ngumu kidoge na itabidi utumie dawa ambazo ukikosea kidogo zaweza kukuletea vidonda vya tumbo ila hilo tatizo litakuwa limetoweka

Na kama ni ya nje basi utawahi kupona kwa maana haya matatizo ili ulijue limekaa kimazingara lile lililotoka nje ndio lipo ndani na la ndani ni hili la nje,

Na kama ni sehemu zote ndani na nje basi hawa hutumia mwezi mzima wa kutumia dawa kuweza kupona,

Ili uweze kuharakisha kupona basi lazima ujue details zote za hilo bawasili kama urefu,upana,lilipoegemea,linavyosurvive details zote utatakiwa uniinbox ili niweze kukwambia na kusugest ni dawa ipi itakufaa hapa natoa mbili tu ya ndani na ya nje ya kwa lile linaloanza kupeya,, yaani lenye miezi minne hadi sita kwa urefu wa nchi 2 na upana wa mdomo wa chupa ya energy ya azam.

DAWA
chukua ubongo wa jogoo mwekundu yule mwenye sharubu na nyongo yake vichanganye pamoja na uviweke kwenye chupa ndogo ya mafuta mazito yale baby care kisha tia humo chumvi,mafuta ya nyonyo na siki ya vinegar ya zabibu,
koroga hadi ibaki rojo ndio itakua mafuta ya kuchua kutwa mara mbili

Kisha chukua
Kitunguu swaumu, pilipili manga,tangawizi na chumvi vijiko vitatu vitatu kisha uchanganye na Asali nusu lita vitunguu vitano vya swaum.. utakunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni..

wiki mbili hilo tatizo linabaki hadithi ya kale kwako.

Pia ukiitaji dawa hii ya bawasili iliyo tayari zipo kalibuni.
Kama u ayo na ni uhakika basi mimi ni muhanga wa hili na naomba niipate hii dawa
 
Wakuu naomba msaada;mke wangu ni mjamzito wa miezi mitano ila amepatwa na hali ya kukosa usingizi,pia kuota ndoto mbaya kama anakabwa na nini na zingine mbaya mbaya,yaan kiufupi malue malue tu...pia tumbo huwa linamuuma mda mwingi...wakuu naombeni msaada maana nakosa amani
N.B hii mimba yake ya pili means tuna mtoto mmoja tayri.
 
Wakuu naomba msaada;mke wangu ni mjamzito wa miezi mitano ila amepatwa na hali ya kukosa usingizi,pia kuota ndoto mbaya kama anakabwa na nini na zingine mbaya mbaya,yaan kiufupi malue malue tu...pia tumbo huwa linamuuma mda mwingi...wakuu naombeni msaada maana nakosa amani
N.B hii mimba yake ya pili means tuna mtoto mmoja tayri.
Kukosa usingizi kuna kipindi katika mimba ni kawaida, yaani kukesha usiku mzima macho inatokea. Kuhusu kuumwa tumbo kuanzia miezi ya 5 na kuendelea kama hatokwi na maji au uchafu wowote ukeni na damu, mtoto anacheza vizuri, asihofu ni kawaida wataalamu wanasema mtoto anakuwa mkubwa kwahyo kizazi kinajitanua kukidhi uhitaji wa mtoto so maumivu kawaida.
Kama maumivu ni makali sana akamwone daktari sio kila dalili ni ya kuchukulia poa hasa kipindi cha ujauzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kufukuza negative energy nyumbani kwako.

Chukua chombo kilicho transparent (glass) jaza maji safi pia weka na chumvi ya mawe changanya na white vinegar then kiweke pale sebuleni kwako utakuja kunishukuru.
 
Kukosa usingizi kuna kipindi katika mimba ni kawaida, yaani kukesha usiku mzima macho inatokea. Kuhusu kuumwa tumbo kuanzia miezi ya 5 na kuendelea kama hatokwi na maji au uchafu wowote ukeni na damu, mtoto anacheza vizuri, asihofu ni kawaida wataalamu wanasema mtoto anakuwa mkubwa kwahyo kizazi kinajitanua kukidhi uhitaji wa mtoto so maumivu kawaida.
Kama maumivu ni makali sana akamwone daktari sio kila dalili ni ya kuchukulia poa hasa kipindi cha ujauzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu trudie shukrani sana aisee
 
Back
Top Bottom