miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,072
- 1,021
Msaada kwa anaejua aina ya dawa za mimea inayotibu uke mkavu plz msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kila siku, ukiweka ni hadi pale utapohisi yale maji yamechafuka kwa vumbi ndo unaweza badilisha. Inaweza chukua hata baada ya mwezi.Hii ni kila siku au mara moja tu? Utakuwa unafanya?
Ukitaka kufukuza negative energy nyumbani kwako.
Chukua chombo kilicho transparent (glass) jaza maji safi pia weka na chumvi ya mawe changanya na white vinegar then kiweke pale sebuleni kwako utakuja kunishukuru.
Mmmh kwa upande wa mwili hiyo experience sina mkuu hivyo siwezi kushauri kitu ambacho sijaki experience hii knowledge niliipata kwa wenzetu huko ndo sayansi huwa wanaitumia majumbani kwao.Shukrani mkuu
Je mwilini?
Tumia ubani maka na zukra ponda ponda mwagia kitandan kabla hajalala hii itampa nafuu kubwa.Wakuu naomba msaada;mke wangu ni mjamzito wa miezi mitano ila amepatwa na hali ya kukosa usingizi,pia kuota ndoto mbaya kama anakabwa na nini na zingine mbaya mbaya,yaan kiufupi malue malue tu...pia tumbo huwa linamuuma mda mwingi...wakuu naombeni msaada maana nakosa amani
N.B hii mimba yake ya pili means tuna mtoto mmoja tayri.
Bamia.Msaada kwa anaejua aina ya dawa za mimea inayotibu uke mkavu plz msaada
Mmmh kwa upande wa mwili hiyo experience sina mkuu hivyo siwezi kushauri kitu ambacho sijaki experience hii knowledge niliipata kwa wenzetu huko ndo sayansi huwa wanaitumia majumbani kwao.
Ila Chumvi ya mawe pekee inatosha kabisaa kuogea mwilini na ikaleta matokeo chanya kwa asilimia [emoji817].
Ila cha msingi zaidi ni kuwa na imani, tena imani kwa mwenyezi Mungu kupitia hizo vitu ameviumba yeye.
Unamaanisha chunusi? au vidoti kama vya mkuu wetu wa wilaya ya kisarawe?Naombeni msaada wa kutoa visunzu ni vile vidogo vipo usoni
Chukua utomvu wa mpapai dume kisha uwe unapaka vitapotea.Naombeni msaada wa kutoa visunzu ni vile vidogo vipo usoni
Tembele kwamba mambo yanateleza tu yenyewe...KUONDOA VIFUNGO MWILINI, AU MAMBO YAKIWA HAYAENDI, HATA KAMA UMEFUNGWA NA WACHAWI USIZAE, KUACHIKA BILA SABABU, USIOLEWE, USIPATE KAZI, USIPATE HELA, BIASHARA KUTOENDA VIZURI, UCHUKIWE HII INASAIDIA SANA.
CHUKUA MAJANI YA TEMBELE KAMA KWENYE PICHA, HATA YA KUNUNUA AU KUCHUMA MWENYEWE YANAFAA, WEKA NA MAJI YA KUTOSHA KWENYE SUFURIA, BANDIKA JIKONI. CHEMSHA MPAKA MAJI YAWE YA KIJANI, WEKA KWENYE CHUPA MENGINE UTUMIE SIKU 7 KAMA HUNA MUDA WA KUCHEMSHA KILA SIKU. CHUJA HAYO MAJI YA TEMBELE TU, NDO YANAHITAJIKA, NDO DAWA.
BAADA YA KUOGA NA SABUNI NA MAJI KAMA KAWAIDA, UNAWEKA HAYO MAJI YA TEMBELE KWENYE NDOO UNANUIA MAMBO YAKO KUFUNGUKA NA KUJIFUNGUA VIFUNGO ALAFU UNAJIMWAGIA.
FANYA SIKU SABA (7) MUDA WOWOTE. MLETE MREJESHO, MTAONA MAMBO YATAKAVYOANZA KUWA MAZURI.
Kalibuni morogoro mjini.
Bitter melon majani
Hutumika kufukiza majini
Tumia kumuogeshea mtoto asipatwe na nguvu za Giza
Yaweke kwenye maji..pigia deki kwenye nyumba au eneo la biashara kuondoa Giza lolote lile.
Tumia kuongea kusafisha mwili wako
Unaweza weka majani Kona za nyumba kuepusha ubaya wa nguvu za Giza
Weka Jani chini ya mto kukomesha wanga na majini wanaoattack usiku.
Matunda yake husaidia kueka level ya sukari kua sawa
View attachment 2447446
Zina masharti mkuu ipo sio ya kunywa unafunga tuu kiunoni mpigi zake ila hakikisha zisidondoke zenyewe, inabidi uzifungue wewe kama wewe zikijidondokea hutazaa mileleKama kuna mwenye kujua dawa za asili za kufunga kizazi (mwanamke asishike ujauzito) atusaidie.
Haya madawa ya hospital sio rafiki kwa afya za wake zetu
Kumbe ni dawa mimi niliyakuta kwangu yameota mpaka juu ya bati nikayafeka yote aisee ujinga mzigoBitter melon majani
Hutumika kufukiza majini
Tumia kumuogeshea mtoto asipatwe na nguvu za Giza
Yaweke kwenye maji..pigia deki kwenye nyumba au eneo la biashara kuondoa Giza lolote lile.
Tumia kuongea kusafisha mwili wako
Unaweza weka majani Kona za nyumba kuepusha ubaya wa nguvu za Giza
Weka Jani chini ya mto kukomesha wanga na majini wanaoattack usiku.
Matunda yake husaidia kueka level ya sukari kua sawa
View attachment 2447446