maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Wakuu kuna herb inaitwa Ashwagadhra... nitaipata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na aya zote hizi. Hongera sanaMatatizo yote ya mwanadamu mfano talaka, vurugu kwenye ndoa, ukosefu wa adabu kwa watoto, watoto awasikii, umasikini, mikosi, nuksi, ngono,ulevi,wizi, hasira,chuki, nk Yote haya utibika. Yote chanzo ni uchafu wa Roho. Wengi wanafasifa nje tu yaani mwili na kuacha roho, roho inapozidiwa na uchafu ni rahisi kushambuliwa na nguvu za giza na kutekwa na yule muovu kutekwa kwa roho kunaitwa kuuza nafsi yako kwa shetani.
Wapo wataalamu wao wamebase kusafisha Roho Ili uwe safi usisumbuliwe na nguvu usizozihitaji. Pana watu Wana elimu na ujuzi wa siri nyingi Sana kuhusu maisha, wanadamu wengi ni wagonjwa watu Wana masumbuko watu wametekwa watu wanapelekeshwa si hiari yao na shetani hawana nguvu hawana maarifa ya kuweza kuwa huru dhidi ya vifungo vya adui muovu, kupitia nguvu ya miti, mimea na madini unaweza jifungua dhidi ya nguvu zote za giza kuanzia uchawi, mizimu, laana, nk.
Pole kwake aonane na specialist wa magonjwa anaweza akapata pakuanzia Mungu amsaidie piaWakuu, naomba msaada tumsaidie huyu rafiki yangu.
Kaka vip,je unga wa karafuu siwez uweka kwenye loshen au mafuta yoyote ya mgando?Changanya na mafuta ya Nazi jipake utastaajabu.
Hongera Mkuu wa kigoda Cha Chama 😁😁No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines and mostly in warm countries.
This grass is widely spread along river banks, settled areas and even along roads! And because of our ignorance about the abundance of its uses, it is normally ignored by many.
Many people have testified about how amazing and effective this grass is in treating common and severe illnesses. Now, we present to you the reasons behind the buzz.
What are the Health Benefits of Paragis?
# Paragis is widely used in Africa as an alternative medicine to different kinds of illnesses.
Aeta people from Porac, Pampanga used burnt dried leaves of Paragis as a repellent against insects.
Leaves of Paragis contain silicon monoxide, calcium oxide, and chlorine.
Dried leaves contain protein.
Many declared it to be anti-inflammatory, a natural antihistamine, a natural diuretic, antidiabetic, an effective anti-oxidant and has cytotoxic properties.
Parts of Paragis that Can Be Used as a Herbal Medicine Leaves
Drinking boiled leaves of Paragis or making a Paragis Tea will ease several pains and illnesses. You can also patch the minced or pulverized leaves on some conditions.
Stems
Boil the stem with leaves to achieve more effective results
Roots
Drinking boiled roots can also cure several illnesses.
Health Conditions That Can Be Cured by Paragis
# Cancer
Because of this plant’s antioxidant properties, this can lower the risk of growing cancer cell in your body.
# Ovarian Cyst and Myoma
Patients with ovarian cyst conditions have proven that drinking Paragis tea in a daily basis has made the cyst completely disappear.
# Kidney Problems
Paragis is a natural diuretic which increases the amount of water in our body and expells salt as urine.
# Arthritis
Heat pounded leaves mixed with scraped coconut. Patch and bandage on the affected area.
# Diabetes
Drink Paragis tea regularly and say goodbye to diabetes.
# Wounds
Apply decoction to wound to stop the bleeding.
# Parasitism
Paragis is a strong laxative that can flush out worms and parasites from your stomach.
# Urinary Tract Infection
You may stop taking antibiotics and start drinking boiled leaves to immediately cure UTI
# Hypertension
Lower the risk of high blood pressure by drinking boiled leaves and stems of Paragis.
# Fever
You won’t be needing any medication to reduce your temperature. Just drink boiled roots of Paragis for faster and more effective results.
# Sprain (Pilay)
To have an instant relief from a sprain, patch some minced leaves on the affected area.
# Dandruff
Reduce the appearance of dandruff. Mix minced leaves and stems with coconut oil. Use it as a shampoo and gently massage it on your scalp. It can also stop hair fall and help your hair grow back to its original thickness.
# Dysentery
This is a type of gastroenteritis that results in diarrhea with blood. Drink boiled roots of Paragis to ease this alarming condition.
#Other Illnesses that Can Be Cured By Paragis:
N. B, Tutupie tiba tunazozifahamu za kiasili kwa mimea inayotuzunguka,
- Asthma
- Hemoptysis
- Bladder Disorders
- Liver Problems
- Jaundice
- Malaria
- Infertility in Women
- Epilepsy
KARIBUNI TUSAIDIANE.
Haya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboveView attachment 2264759
Chukua majani kama matano ya mstafeli. Tengeneza chai yake anywe kikombe kimoja. Atalala usingizi safi sana. Na hata kama kukosa usingizi ni sababu ya wasiwasi uliopitiliza, anxiety...hiyo ni tiba nzuriHivi waungwana nini dawa ya insomnia (kukosa usingizi) na ndoto za kutisha .Najiran yangu akiingia kitandan saa 3 usingizi saa 9 na bado anastuka anasema anaona mapicha ya mizoga ya kutisha .
Kula sana bilinganya mix up na Maharage ya kutosha, jioni wakati wa kulala jipake mafuta ya mizaituni nyayoni halafu lala, tafadhali tuletee mrejesho!Chukua majani kama matano ya mstafeli. Tengeneza chai yake anywe kikombe kimoja. Atalala usingizi safi sana. Na hata kama kukosa usingizi ni sababu ya wasiwasi uliopitiliza, anxiety...hiyo ni tiba nzuri
Wasiwasi wako tu... Hata kisukari hakikatizi kwenye hayo majani
Picha namba 1,515 hapo juu ni mmea wenye dawa safi sana ya kisukari. Tengeneza chai yake anywe asubuhi na jioni hata Kwa wiki mojaWaungwana naulizia dawa ya kisukari, mgonjwa alikatwa kidole kidogo cha mguu mara ya kwanza, sasa hivi kimetokea kidonda kwenye kidole gumba cha mguu mwengine, anahofu ya kukatwa tena maana kimechimba sana... ajuaye dawa please msaada.
Olive oil jifanyie message kwenye nyaoHivi waungwana nini dawa ya insomnia (kukosa usingizi) na ndoto za kutisha .Najiran yangu akiingia kitandan saa 3 usingizi saa 9 na bado anastuka anasema anaona mapicha ya mizoga ya kutisha .
Kabisa mkuu, mziwaziwa ni dawa kabambe ya vidonda, pia mtetanasi nao ni dawa nzuri kupindukia hata vidonda sugu.Mziwa ziwa ukichanganya na mashika nguo na mchaichai ni dawa nzuri kwa mwenye vidonda vya tumbo
Mlundalunda, lubhungwa, ntundwa hii mimea inatibu ngiri kwa haraka sana.Baada ya wadau wengi kuendelea kufuatilia kwa kuniuliza maswali mengi na kutaka kufahamu juu ya mmea huu na maajabu yake katika tiba ya magonjwa mbalimbali kwa kadri wanavyousikia,leo niandike japo kidogo tu angalau ABC juu ya mtishamba huu.
Mlundalunda ni jina maarufu la mmea huu kwa watu wanaoongea lugha ya asili ya kisukuma,kwa maana ya mikoa ya Mwanza,Shinyanga,Simiyu,Tabora n.k. Wamasai huuita ORBUKOI.
Zipo species nyingi za mmea huu,aina ninayoizungumzia hapa na ambayo inatumika sana kwenye tiba ni ile ambayo kisayansi inaitwa CASSIA ABREVIATA.Mmea huu unapatikana zaidi katika mapori ya Tabora,pwani na sehemu za umasaini.
Kwa mjibu wa tafiti zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika mpaka sasa,mmea huu ni mzuri sana katika tiba ya magonjwa mengi kwenye mwili wa binadamu,kama utavunwa kwa mazingira sahihi na kuandaliwa kama inavyotakiwa bila kuathiri mlinganyo wake wa kemikali asilia.Mmea huu hutibu mambo yafuatayo;
1. Matatizo ya hedhi na uzazi kwa wanawake, Hususani wanawake waliotharika sana na kemikali za uzazi wa mpango,dawa hii huwarejesha katika hali ya msawazo wa kihomoni.
2. Maralia Sugu; kuna watu wanasumbuliwa na maralia sugu,mmea huu huchanganywa na tangawizi na unatibu changamoto hiyo kwa siku saba tu.
3. Magonjwa ya ngozi,mmea huu unatibu magonjwa aina mbalimbali ya ngozi,hata kama ni mzio wa kuwashwa kila wakati hupona kabisa kwa dosi ya mmea huu
4. Husafisha damu, kama unaenda kupima na unaambiwa damu yako ni chafu ndiyo maana unapata vipele,majipu na kuwashwa mwili,mmea huu hukomesha kabisa hali hiyo kwa kuifanya damu kuwa safi.
5. Huimarisha misuli ya uume, kwa wale wanaume ambao misuli yao ya uume inaonyesha unyonge na wakati mwingine uume unakuwa unarudi ndani ya mwili kama unajificha,mmea huu huondoa kabisa tatizo hilo,kwani ni kiboko ya chango la kiumu ambalo huchangia kusababisha hali hiyo.
6.Hutibu magonjwa ya ngiri.Mmea huu hupambana na chango linalosababisha ngiri kwa wanaume.
7.Kwa kuchanganywa na aina nyingine ya mimea,mmea huu hutibu magonjwa ya PID na kuondoa vimbe katika uzazi kwa wanawake.
Mmea huu unaweza kutumika pekee au kwa kuchanganywa na mmea mingine ili kuleta ufanisi zaidi kwa kuzingatia uwiano maalum kitaalamu.
Unaweza kutumia mmea huu kwa kuchimba mzizi wake mbichi na kuuchemsha,halafu utatumia kwa kunywa mara tatu kwa siku,au kwa unga wa mizizi yake ulioandaliwa kwa ufanisi,nusu kijiko katika maji moto mara tatu kwa siku.
NOTE: Zingatia matumizi sahihi ya dawa kwa kupata ushauri kwa wataalam,jihadhari na matumizi yasiyo sahihi ya mitishamba na hakikisha unatibu tatizo unalolifahamu vyema.
Wasalaam...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanayotokana na maziwa.Kwenye tiba zahasili mafuta ya ng'ombe niyapi yanayotakiwa yale yanayo tokana na maziwa au yale yaliomo ndani ya mwili wa ng'ombe,
Mwenye kuifahamu tafadhali
Kabisa mkuu, mziwaziwa ni dawa kabambe ya vidonda, pia mtetanasi nao ni dawa nzuri kupindukia hata vidonda sugu.
Mkuu ndio wenyewe huo nyakati za zamani sana mtu akiumia jeraha kubwa kwa vyuma vyenye kutu alikuwa anaweka utomvu wake sijui tetenas sijui nini haimpati kamwe na anapona salama.View attachment 2799030
Mkuu crocodiletooth hivi hiyo picha hapo ndio ya mtetanasi? Nataka niwe na uhakika kabla ya matumizi
Mziwa ziwa ukichanganya na mashika nguo na mchaichai ni dawa nzuri kwa mwenye vidonda vya tumbo
Nadhan ukijaribu kutumia kupaka utomvu / mafuta ya mibono inasaidia!Wakuu naomba mwenye kujua dawa ya kuondoa uvimbe nyuma ya kichwa
Miaka kama minne nyuma nilienda pale legency hospital wakanitolea huo uvimbe na wakasema hautarus tena lkn cha ajabu umerud na hapa nimeona bora nitafute dawa mbadala ambayo itaondoa huo uvimbe nyuma ya kichwa
Ni uchafu fulan kama vimafuta huwa vinajikusanya nyuma ya kichwa na ukikipasua vinatoa harufu kali sn
Naomba mwenye kujua tusaidie mana muhim sn
Yanaptikana kwenye mti gan hayo mafuta na huo utomvuNadhan ukijaribu kutumia kupaka utomvu / mafuta ya mibono inasaidia!