LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Image haifungukiPressure hasa ya kupandaa
Tafuta maua hayo chuma chemsha uww wanywa mpaka siku 11..
Ni mjarabu.
Rudia rudia dawa unapoona mabadiliko.View attachment 2730300
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Image haifungukiPressure hasa ya kupandaa
Tafuta maua hayo chuma chemsha uww wanywa mpaka siku 11..
Ni mjarabu.
Rudia rudia dawa unapoona mabadiliko.View attachment 2730300
0787 370180anaejua dawa ya mtishamba/kienyeji ya kuua au kufukuza popo ndani ya nyumba asaidie hapa[emoji1672]
Ameomba dawa hajaomba namba za simu0787 370180
Watalaamu mi naomba dawa ya kuzuia jipu yani lipotee lisiive, nshatokea jipu nikakamua hospital lakini linarudia tena....hapa leo najisikia tena dalili 🥺 naombeni kama tiba ipo
BIN NUN Crocodiletooth et al please
Kitunguu saum nafanyaje, kuna antibiotics nlitumia likapotea, nikihisi tu dalili naziwahi fastaTumia kitunguu swaum
Paka kinyesi cha kuku wa kienyeji linapasuka lenyewe tu kisha weka magadi mkuuKitunguu saum nafanyaje, kuna antibiotics nlitumia likapotea, nikihisi tu dalili naziwahi fasta
Twanga uwe unapaka apo kwenye tatizo usikaKitunguu saum nafanyaje, kuna antibiotics nlitumia likapotea, nikihisi tu dalili naziwahi fasta
Duuuhhh hadi mwili umesisimka sipati picha hayo maumivu yake 😁Twanga uwe unapaka apo kwenye tatizo usika
Tafadhali naomba jina la kitabu tafadhaliNinacho[emoji41]View attachment 2363422
Rituals ambazo nimeshuhudia maajabu yake kwa macho yangu live tena papo hapo.
KIVUTA WATEJA KWENYE BIASHARA
BOOM🌟🌟..zoom usome
Usiangalie maumivu Angalia afya Yako kwanza.Duuuhhh hadi mwili umesisimka sipati picha hayo maumivu yake 😁
Kaa toa ulimi nje adi mwisho wa uwezo wako ,alafu urudishe ndani ndani kabisa adi mwisho wa uwezo wako ,rudia mara nyingi zoezi Hilo Hadi siku utayoona umeacha kukoroma,Kila la heriWakuu Kuna mmea unaitwa mtambaza ninaomba picha yake na matumizi yake
Mkuu saidia tatizo la ukungu jichoni, dawa gani tutumieMwenye shida ya kiafya aje apa tumpe ushauri ama tiba kupitia mimea inayo tuzunguka majumbani.
Ndugu yangu anasumbuliwa na tatizo la kukosa hedhi ,hivyo inakua ngumu kushika ujauzito ,naomba ushauri tafadhaliMwenye shida ya kiafya aje apa tumpe ushauri ama tiba kupitia mimea inayo tuzunguka majumbani.
Hiki kitabu nani mwenye nacho naomba wakuuBoom🌟🌟🌟
Naomba hiki kitabuWeka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.
Practical and effective
Easy to perform.
Cheap and commonly available ingreduents
No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.
Only 55 pages.
No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.
If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.
Crocodiletooth