Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani.

Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024.

Baada ya mechi hiyo kumekuwepo na maneno na misemo ya kujifariji kutoka kwa mashabiki wa Yanga na wale mashabiki mamluki wa Simba.

Uzi huu ni Maalumu kwa ajili ya kuweka misemo hiyo;

~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha

Haya wadau tuendelee kutiririka.


Sasa sijui wewe ni Yanga au umbea ndo unakusumbua
 
Twin BRN kushinda mmeshinda ila mbona kama hamjiamini? Wenzenu siye, huwa tukinyanyua kwapa ni full kufurahia. Nyinyi mna masikitiko sana.
 
Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani.

Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024.

Baada ya mechi hiyo kumekuwepo na maneno na misemo ya kujifariji kutoka kwa mashabiki wa Yanga na wale mashabiki mamluki wa Simba.

Uzi huu ni Maalumu kwa ajili ya kuweka misemo hiyo;

~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha

Haya wadau tuendelee kutiririka.
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
 
Wamatopeni Naona Mmeotea Basi Uzi Kila Mahala.

Kweli Masikino Akipata Matako Ulia Mbwata.
 
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
Msemo mwingine huu ....
 
Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani.

Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024.

Baada ya mechi hiyo kumekuwepo na maneno na misemo ya kujifariji kutoka kwa mashabiki wa Yanga na wale mashabiki mamluki wa Simba.

Uzi huu ni Maalumu kwa ajili ya kuweka misemo hiyo;

~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha

Haya wadau tuendelee kutiririka.
Juzi hatukuwa na mvua, jana hatukuwa na mvua, leo hii mvua imetoka wapi??
 

Attachments

  • VID-20230816-WA0005.mp4
    5.5 MB
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
Kauli ya Manara ina ukweli sana, huko ni wawili tu. Baada ya dakika 90 kwa hiyo Diara pale langoni alikuwa anazuia ili isiwe nini kama sio magoli?
 
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
Cry more
 
Back
Top Bottom