Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

Kali yao muhimu ni nyuma mwiko mbele daima... Yanga itakuwa waliwahi kunajisiwa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
😃😀😅😂🤣😄😄😁😆😆😂🤣🤣🤣😂😅😅Bhaghosha Sana
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
Kwa hiyo tukubaliane kuita kipi?
-mikwaju mitatu,
-magoli matatu ya mikwaju ya penati,
-au mitupio mitatu golini?
NB:Kila mpira uingiapo golini bila kukinzana na kanuni/sheria za mpira huitwa goli.
KAZI NI KWAKO MGOSI!🤔
 
Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani.

Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024.

Baada ya mechi hiyo kumekuwepo na maneno na misemo ya kujifariji kutoka kwa mashabiki wa Yanga na wale mashabiki mamluki wa Simba.

Uzi huu ni Maalumu kwa ajili ya kuweka misemo hiyo;

~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha

Haya wadau tuendelee kutiririka.
FB_IMG_1692176639929.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha
20230817_060947.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Aisee Rage anatakiwa ajengewe sanamu la kumbukumbu mapema iwezekanavyo, kutokana na yale maneno yake kuendelea kuishi mpaka leo. Eti Yanga ilifungwa magoli 3 na simba!!

Yaani mchezo uliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote kutoshana nguvu ndani ya dakika 90! Wewe unakuja na uongo wako huku ukiwa huna hata tone la aibu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo unajua kutoa chozi best, Lol
 
Back
Top Bottom