Uzi maalumu wa Misemo ya Yanga baada ya kufungwa na Simba na kupoteza Ngao ya Hisani

Kali yao muhimu ni nyuma mwiko mbele daima... Yanga itakuwa waliwahi kunajisiwa
 
Reactions: BRN
😃😀😅😂🤣😄😄😁😆😆😂🤣🤣🤣😂😅😅Bhaghosha Sana
 
Reactions: BRN
Kwa hiyo tukubaliane kuita kipi?
-mikwaju mitatu,
-magoli matatu ya mikwaju ya penati,
-au mitupio mitatu golini?
NB:Kila mpira uingiapo golini bila kukinzana na kanuni/sheria za mpira huitwa goli.
KAZI NI KWAKO MGOSI!🤔
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BRN
~ Yanga ilicheza vizuri kuliko Simba
~ Penalty hazina mwenyewe
~ Ally Salim alikuwa nje ya mstarii
~ Simba dhaifu
~ Simba wameshinda lakini hawana furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BRN
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo unajua kutoa chozi best, Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…