adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Assalam'aleikum...
Karibuni wote katika sehemu rasmi hapa Jf ya kuelimishana na kuzinduana na kupata maarifa kupitia picha za nukuu na picha zinazohusisha dini ya kiislamu . Baada ya pilipilika mabalimbali ni vyema kupata kitu hata kidogo kitachoongeza kitu katika siku yako na pengine jambo kitu kidogo kinaweza kuwa na manufaa makubwa kwa mtu..
Moja jambo ambalo ningependa kuhusia ni tukumbuke kutubia na kuomba msamaha kwa Allah mara kwa mara ,kwani tumepewa fursa kubwa ya kurekebisha mambo yetu kwa kutubia na kuomba msamaha ila wengi tunaghafilika kwa kudhani muda tunao wa kutosha hatimaye mauti huja ghafla bila ya kutubia toba ya kweli na kusimama katika hali ya sawa na hii ni hasara kubwa kabisa.
Karibuni wote katika sehemu rasmi hapa Jf ya kuelimishana na kuzinduana na kupata maarifa kupitia picha za nukuu na picha zinazohusisha dini ya kiislamu . Baada ya pilipilika mabalimbali ni vyema kupata kitu hata kidogo kitachoongeza kitu katika siku yako na pengine jambo kitu kidogo kinaweza kuwa na manufaa makubwa kwa mtu..
Moja jambo ambalo ningependa kuhusia ni tukumbuke kutubia na kuomba msamaha kwa Allah mara kwa mara ,kwani tumepewa fursa kubwa ya kurekebisha mambo yetu kwa kutubia na kuomba msamaha ila wengi tunaghafilika kwa kudhani muda tunao wa kutosha hatimaye mauti huja ghafla bila ya kutubia toba ya kweli na kusimama katika hali ya sawa na hii ni hasara kubwa kabisa.