Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
 
WA-IMG-20220926-d9e7c19a.jpg

WA-IMG-20220926-7aa5b147.jpg
 
Tusiache kuwa wenye kusoma katika ibada zetu , Elimu kwanza kabla ya amali na kauli
IMG_20230608_221418.jpg
 
Tunaotumia app tunakosa madini, picha zimekuwa changamoto kufunguka
 
Tunaotumia app tunakosa madini, picha zimekuwa changamoto kufunguka
Duh ! sijui kwa nini sijawahi kupata mzuka na app mimi chrome kila siku au browsers nyingine ,mambo safi hakuna shida yeyote.
 
Duh ! sijui kwa nini sijawahi kupata mzuka na app mimi chrome kila siku au browsers nyingine ,mambo safi hakuna shida yeyote.
Uzuri wa app naikubal una scroll down tu kusaka nyuz hakuna limit

Pia naona ipo fasta zaid kuliko website
 
Uzuri wa app naikubal una scroll down tu kusaka nyuz hakuna limit

Pia naona ipo fasta zaid kuliko website
Kweli ,ila sitaki kujulikana kama nipo Jf app itanichoresha .
 
"Piganeni na wale wasiomwamini allah maana hawafuati dini ya haki"Hii nukuu imekaa kisheitwani sana!
 
Ni vizuri kuwahi na kuzingatia muda vipindi vyote vya Swala na sio mtu kujiamulia mda wa kuendea swala.
IMG_20230616_085017.jpg
 
Back
Top Bottom