Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
MODS : Huu uzi msijemkauhamisha unafiti hapa.
NOTE hapa hatutangazi biashara, kama unatangazo lako unataka uuze kiatu/viatu fungua uzi.
Kiatu ni sehemu muhimu sana katika uvaaji,
Ni sehemu ambayo unapokutana na mtu, kama ataanza kuangalia juu ila point kubwa basi atamalizia mguuni..
Unapo vaa vizuri ukapendeza(kupendeza ni suala la mtazamo binafsi) basi tendea mguu wako nao haki umalize kabisa..
Nisiwachoshe..
Tupia kiatu ulichovaa...
Kiatu/viatu ulivyonavyo,
Kiatu unachopenda, labda ulikiona sehemu, unakitafuta waweza upate msaada humu n.k
Usiweke picha yako nzima, uzi utabadilisha maana.
Ukiweka nusu kuonesha ulivyovaa na kukukaa mguuni sio mbaya..
Sendo/kiatu cha wazi sio mbaya pia....
Soon nakuja na picha zangu
NOTE hapa hatutangazi biashara, kama unatangazo lako unataka uuze kiatu/viatu fungua uzi.
Kiatu ni sehemu muhimu sana katika uvaaji,
Ni sehemu ambayo unapokutana na mtu, kama ataanza kuangalia juu ila point kubwa basi atamalizia mguuni..
Unapo vaa vizuri ukapendeza(kupendeza ni suala la mtazamo binafsi) basi tendea mguu wako nao haki umalize kabisa..
Nisiwachoshe..
Tupia kiatu ulichovaa...
Kiatu/viatu ulivyonavyo,
Kiatu unachopenda, labda ulikiona sehemu, unakitafuta waweza upate msaada humu n.k
Usiweke picha yako nzima, uzi utabadilisha maana.
Ukiweka nusu kuonesha ulivyovaa na kukukaa mguuni sio mbaya..
Sendo/kiatu cha wazi sio mbaya pia....
Soon nakuja na picha zangu