Uzi maalumu wa vyakula vya mkoa wa Kigoma (Dagaa na migebuka)

Uzi maalumu wa vyakula vya mkoa wa Kigoma (Dagaa na migebuka)

Hapa sibanduki.
Unaanzaje kwa mfano..
48f7439bb74f5ed2ff47dfc808bdd73d.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Hii picha inanifanya nimkumbuke mama angu akii ya Mungu. . Kapata tabu sana kuhakikisha tunakula..
Unga wa muhogo unatengenezwa hapo
1e00287f5321041f57d9c2b70d921501.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom