Uzi maalumu wa vyakula vya mkoa wa Kigoma (Dagaa na migebuka)

Uzi maalumu wa vyakula vya mkoa wa Kigoma (Dagaa na migebuka)

Mtama Wabhonye ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ
Iviligwa
 
Kigoma ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„
 
Kwa kweli kigoma imebarikiwa sijauona MWANAIDI

najua mmenielewa
 
Wakazi wa vijiji vya Herembe, sigunga, kapalamsenga, Mgambo, Igarura au kibirizi, Mwamgongo watakua wanajua iki kitu.. kinaitwa MBANI hapo dagaa zinachomwa zikiwa na pilipili kichaa na chumvii moto wake usiuchezew wanjua
91c91c1683def3f396b47b5b40f80247.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Umeacha Sinuka, Kasuku, Katonga na Kalalangabo.

Vv
 
Daah Kwakweli pasingekua uchawi nisingehama kigoma
ddf98bde52da2f035a76cd4ae1199915.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Dogo, unataka kutuaminisha kuwa Kigoma yote ni wachawi? Mbona wengine tumeishi huko miaka mingi tu na uchawi haijuwahi kutupata?

Vv
 
Ukisikia kigoma mwisho wa reli sio mwisho hapanaa.. ndio mwanzo wa mambo mazuri ya kuvutia na kupendeza.. kigoma iliyobarikiwa vipaji, elimu, mazao mbalimbali mbalimbali kutoka majini na nchi kavu...

Haka kauzi ni maalumu kwa ajili ya kuonyesha chukala asilia cha watu wa kigoma.
KARIBUNI KIGOMA
12948c7414c76b525538f8d8ed70dc10.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hii itakua njia ya kwenda kibirizi, naiona ocean view kwa mbaliii
 
Siku hizi tunaambiwa yana chorestrol nyingi wakati miaka yote watu wanayala. Halafu mawese yakiungwa kwenye maharage ya Kigoma (njano orijino ) ni hatari lkn salama.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mawese nilishindwa, kuna demu wa kikongo nilikua nae basi menyu ni kisamvu nyama mawese,kisamvu samaki mawese daily nikatoka baru
 
Back
Top Bottom