Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Mi mwenyewe nimeshangaa pale kifuani pameandikwa nini? HAZIMO?... Anyway, hii kwakweli Ngowi kaandika ukweli mtupu, maana pale Mafurikoni wenye akili ni wawili tu, WENGINE WOTE HAZIMO.Akili hazimo [emoji23]
bado hujasema... unaumia kutokea wapi mkuu?
Za Yanga au Simba?Hizi jezi mpya sasa inakuwa vurugu, siku sio nyingi zitageuka matambara ya deki majumbani
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Jezi za Yanga nzuri,Ukiweka UNAFKI pembeni.
Si Yanga Si WANAUME wa Kazi (SIMBA).
Wote hakuna mwenye Jezi nzuri.. wamepuyanga wote, hamna ubunifu.
Hapo kuna MoXtra ya mia tano (logo ndogo) na MoXtra ya buku (logo kubwa) na nasikia wanampango wa kutoa ndogo kabisa ya mia tatu ambayo itakaa kifuani.Hii imekaaje wataalam wa branding View attachment 2821985