Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Huyo Raisi kazindua ushuzi tu hamna jezi pale!!!Simba waoga sana, huwa wanasubiri yanga afanye ndio wao wafanye,
iwe jezi, siku ya mwananchi, kutangaza bajeti, n.k.
Yanga jezi zimezinduliwa jana malawi na Raisi alipewa yake, Simba nawasubiria waende nao ikulu kama wataweza.
Na hata bajeti yao, kwanza walisema 13B, lakini Yanga walipotangaza, wakasema wao ni 24B..!! Wana mihaho sana na mambo ya Yanga hawa mbumbumbu FCSimba waoga sana, huwa wanasubiri yanga afanye ndio wao wafanye,
iwe jezi, siku ya mwananchi, kutangaza bajeti, n.k.
Yanga jezi zimezinduliwa jana malawi na Raisi alipewa yake, Simba nawasubiria waende nao ikulu kama wataweza.
Umewadharau Simba mpaka unawauzia Ng'ombe mlio?Nimefanikiwa kuchungulia jezi za Simba za ugenini hizi nyeupe ni nzuri sana sijawahi kuziona aisee.
Wana Simba kaeni mkao wa kula kwa uzi huu hakika vunjabei aliwachelewesha sana. Uzi ni mkali.
Ikitokea hujauelewa niulize mimi
Acha wendawazimu nani mwanzilishi wa matamasha si Simba day yanga wachumba tu wanamuiga SimbaSimba waoga sana, huwa wanasubiri yanga afanye ndio wao wafanye,
iwe jezi, siku ya mwananchi, kutangaza bajeti, n.k.
Yanga jezi zimezinduliwa jana malawi na Raisi alipewa yake, Simba nawasubiria waende nao ikulu kama wataweza.
Uzi bila picha ni sawa na utamu bila ya utelezi,hainogiNimefanikiwa kuchungulia jezi za Simba za ugenini hizi nyeupe ni nzuri sana sijawahi kuziona aisee.
Wana Simba kaeni mkao wa kula kwa uzi huu hakika vunjabei aliwachelewesha sana. Uzi ni mkali.
Ikitokea hujauelewa niulize mimi
Umechungulia wapi kama siyo mwanga wewe?Nimefanikiwa kuchungulia jezi za Simba za ugenini hizi nyeupe ni nzuri sana sijawahi kuziona aisee.
Wana Simba kaeni mkao wa kula kwa uzi huu hakika vunjabei aliwachelewesha sana. Uzi ni mkali.
Ikitokea hujauelewa niulize mimi
Tulia wewe Simba ndio lesson you have been learning every day.Simba waoga sana, huwa wanasubiri yanga afanye ndio wao wafanye,
iwe jezi, siku ya mwananchi, kutangaza bajeti, n.k.
Yanga jezi zimezinduliwa jana malawi na Raisi alipewa yake, Simba nawasubiria waende nao ikulu kama wataweza.
Thithi Nganda Makolo jedhi dhetu tutadhindulia IKULU ya Recep Tayyip ErdoganSimba waoga sana, huwa wanasubiri yanga afanye ndio wao wafanye,
iwe jezi, siku ya mwananchi, kutangaza bajeti, n.k.
Yanga jezi zimezinduliwa jana malawi na Raisi alipewa yake, Simba nawasubiria waende nao ikulu kama wataweza.