EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wakati naishi Dom kuna wamama watu wazima huwa wakuja kila siku alfajiri na mapema wanadeki korido, vyooni na uani so wakati naenda job natoa nguo namuachia na hela na Sabuni nakuja kuanua jioni nikitoka job. it was very simple