Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
jf inabeba mengi sanaunataka tutongoze dume lenzetu humu??!!
usilolijua ni kama usiku wa giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jf inabeba mengi sanaunataka tutongoze dume lenzetu humu??!!
usilolijua ni kama usiku wa giza
Ni kweli aisee, unaweza mtongoza dada au ma mdogo humu...nimeshtuka!Unaweza kutongoza ndugu zako ohoo...
Karuceewatu wazima hawapangwi ni kueleweshwa tu then unapewa mbususu straight
Hivi hizi hela tunazozitafuta,nani alizipoteza?Hii ni dalili ya watu kukosa shughuli za muhimu za kufanya...
Niache kutafuta pesa, nianze hangaika kutongoza mtu hata hujui kama ni choko, au muuza mbunye au hata ni kidume mwenzio...
Tafuta pesa, mambo mengine yakufuate ikiwemo 'wachuchu'
mimi kama katibu kiongozi nishatia timuBaraza la Wasoma Komenti Jeiefu tunapenda kuwahakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega kupitia huu uzi kusapoti harakati zenu.
Ohoo!! kwani wewe unajua kiswahili vizuri? Kukiongea na kukiandika?maana huyu hua hajui Kiswahili vizuri.
Hata sijui nimefikaje fikaje 😁😁hahahahahaha umefata nini huku jman ? mm nasoma comments
🤣🤣🤣🤣wewe na anko frog mmepotea sana lohna huyu ndo changu lee
Unachemsha gunia unakunywa supuHahahaha tuko wengi ila unaweza uziwa mbuzi kwenye gunia
heee badala ya kusema ajiandae na mbio unasema aandae mafutaOk,fine.let me try sacrifice to somebody mwafulani....ajiandae na mafuta akishikwa ugoni