Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Poa mtu wangu, hata mimi nimeziondoa zote tu isilete taswira mbaya kwa wengine...Poa nadelete comment yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mtu wangu, hata mimi nimeziondoa zote tu isilete taswira mbaya kwa wengine...Poa nadelete comment yangu.
Yani niache kuwaza namna ya kutafuta fweza...nifikirie ombi lako...[emoji16][emoji16][emoji16]acha masihara basi Chief
Kule walitutishia aman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe na anko frog mmepotea sana loh
Akina nani tena hao waliowatishia amani?hata anko frog nae akatishika 😁😁so sadKule walitutishia aman
Ndiyo maana group lazima likukuleheee badala ya kusema ajiandae na mbio unasema aandae mafuta
Tunaharibu uziAkina nani tena hao waliowatishia amani?hata anko frog nae akatishika [emoji16][emoji16]so sad
Dah haya mkuu ila hayo mapaka tu ndiyo nayaogopa😜Ingekuwa ni wajibu ningemfuata financial services
Umerudia tena hivo vi emojis eeh?, wewe ni mjanja mjanja hiviFinacial service popote ulipo nipo[emoji39][emoji39]
Usiwe mkubwa tu. Ukiwa mkubwa tu jua utaobwa ela zako zote usizifaidiWakubwa wanafaidi daaah[emoji16]ntaomba nami niwe MKUBWA kesho
Mfatishe upate TKO.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza kutongoza ndugu zako ohoo...
😂😂😂😂😂😂fanya fasta basi staki kusubiri sana.
Safi sana,ngoja nikae sawa kwanza.😂😂😂😂😂😂fanya fasta basi staki kusubiri sana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] siweki vile vi emoji tena mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Umerudia tena hivo vi emojis eeh?, wewe ni mjanja mjanja hivi
Hivi best upo?Hii ni dalili ya watu kukosa shughuli za muhimu za kufanya...
Niache kutafuta pesa, nianze hangaika kutongoza mtu hata hujui kama ni choko, au muuza mbunye au hata ni kidume mwenzio...
Tafuta pesa, mambo mengine yakufuate ikiwemo 'wachuchu'