Uzi special: Mtongoze hapa ki-utu uzima mkamalizane live

πŸ₯°
Kasinde kwa nini nikufinye mama na ladha ya sukari waijua ni tamu...

Halafu Kasie kule Ndoto napasikia sikia tu kuwa ni bonge moja la holiday/weekend gateway...kuna hadi horse riding...

Ukiwa na nafasi ya siku nzima unipitie twende.

Kabla Disemba 2021 haijaisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unamtaka Bibi faiza foxy
 
Kune yule dada jamani unakaa mkoa wa wanyamwezi nakusubiri inbobo 😜😜
 
Natuma salamu kwa my wife to be financial services 😍😍😍

Sijui ni kwa nini huwa naogopa kumtafuta pm mpaka leo! Yaani ninamuonea aibu mpaka najishtukia!πŸ™„ Baby, unaweza tu kuni 'dip', halafu mimi nitapiga! πŸ€™
 
Natuma salamu kwa my wife to be financial services 😍😍😍

Sijui ni kwa nini huwa naogopa kumtafuta pm mpaka leo! Yaani ninamuonea aibu mpaka najishtukia!πŸ™„ Baby, unaweza tu kuni 'dip', halafu mimi nitapiga! πŸ€™
Jamani thank you my hubby to be! Ila tangu uweke ile ahadi ya kununua kile kitanda cha elfu 70 ili tuhamie kwetu na ukashindwa kununua dahπŸ˜‚πŸ˜‚ ila one day tutanunua tu babe😍😍
 
Jamani thank you my hubby to be! Ila tangu uweke ile ahadi ya kununua kile kitanda cha elfu 70 ili tuhamie kwetu na ukashindwa kununua dahπŸ˜‚πŸ˜‚ ila one day tutanunua tu babe😍😍
Kwa utawala wa huyu mama, naamini tutanunua tu kitanda cha thamani zaidi ya kile cha elfu 70! Dah!! Enzi zile, vyuma vilikuwa vimekaza sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…