Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Habari za kazi Wakuu......
Kama Kichwa cha habari hapo juu huu Uzi ni wa kupeana hongera ya siku za kuzaliwa kwa tarehe zote mwaka mzima.
Leo tunaanza na mimi nawakaribisha wote mliopo Dodoma Mjini kwenye Chakula cha jioni maana ni siku yangu ya kuzaliwa
January. 07 pia nilibahatika kuzaliwa na huyu mtu mwenye akili nyingi
Kama Kichwa cha habari hapo juu huu Uzi ni wa kupeana hongera ya siku za kuzaliwa kwa tarehe zote mwaka mzima.
Leo tunaanza na mimi nawakaribisha wote mliopo Dodoma Mjini kwenye Chakula cha jioni maana ni siku yangu ya kuzaliwa
January. 07 pia nilibahatika kuzaliwa na huyu mtu mwenye akili nyingi