maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Kama heading inavosema hapo juu huu ni uzi wa Hip Hop comment mstari wowote wa ngoma yeyote kutoka kundi lolote iwe ya Hip Hop
Naanza mimi
Tunachukiana kwa sababu tunaogopana/
Tunaogopana kwa sababu hatujajuana/
Hatujuani kwa sababu tunatengana/
Dunia ni pana walimwengu hawana mana.
Karibuni wakuu ikipatikana na picha yeyote itapendeza zaidi ili kunogesha uzi.
Asanteni
Naanza mimi
Tunachukiana kwa sababu tunaogopana/
Tunaogopana kwa sababu hatujajuana/
Hatujuani kwa sababu tunatengana/
Dunia ni pana walimwengu hawana mana.
Karibuni wakuu ikipatikana na picha yeyote itapendeza zaidi ili kunogesha uzi.
Asanteni