King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Habari mkuu King Shaat,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa sana asee. Inakuwa vipi mkuu?Habari mkuu King Shaat,
Poa sana mkuu. Kwa nini uliamua kutumia King Shaat na sio jina lingine huku JF?Poa sana asee. Inakuwa vipi mkuu?
Hilo jina ni jina m'badala (alias) tangu 2006 mkuu. So limekuwa sehemu ya utambulisho wangu tangu siku nyingi. Natumaini nimekujibu.Poa sana mkuu. Kwa nini uliamua kutumia King Shaat na sio jina lingine huku JF?
Dah sawa sawa mkuu. Wewe ni mwenyeji wa wapi masta?Hilo jina ni jina m'badala (alias) tangu 2006 mkuu. So limekuwa sehemu ya utambulisho wangu tangu siku nyingi. Natumaini nimekujibu.
Arusha!Dah sawa sawa mkuu. Wewe ni mwenyeji wa wapi masta?
Hahaha. Inategemea na vigezo gani unatumia. Kujibu swali lako, hapana. Ni jinsi tu unavyotazama maisha ya watu utashi wao, na jinsi wanavyochukulia mambo.Nasikiaga arusha ni pakishamba sana ni kweli masta?
Anha. Usikasirike mkuu,... Jeh ushawahi vuta "cha Arusha"?Arusha!
No comment, mkuu!.Anha. Usikasirike mkuu,... Jeh ushawahi vuta "cha Arusha"?
No comment, kwamba unapiga au haupigi?! Funguka tu mkuu. Kwani kuna mtu unamwogopa huku JF.No comment, mkuu!.
Hapana. Mkuu kwani wewe unauza "ngibz"?! Mbona unataka kujua hivyo?No comment, kwamba unapiga au haupigi?! Funguka tu mkuu. Kwani kuna mtu unamwogopa huku JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]apo unazngua mkuuNamrudisha kwao upes na haraka
Una vituko sanaNaona leo nimekufurahisha sana mama sabrina