Uzi wa kila mtu kumuintavyuu mtu na kujiitavyuuu mwenyewe

Uzi wa kila mtu kumuintavyuu mtu na kujiitavyuuu mwenyewe

Tupe histolia yako kwa ufupi kwanini ulijiunga humu ndan

niliamua kujiunga humu kutokana mada mbalimbali zinazozungumziwa za kimaisha zinazohusu uchumi,afya,jamii,elimu,mahusiano,kisiasa japo sipendi sana maswala ya siasa ila huwa napenda kujua tu updates,na maswala mengine ya muhimu,yamenifanya nijiunge humu ndani.

actually Jf imeniburudisha,imenielimisha,imenijenga pia kimtazamo na fikra,na pia inazidi kunipanua zaidi kiakili kutokana na ideas nazokutana nazo humu
 
Back
Top Bottom