Daaah huu ukweli umeniuma sema ntafanyaje sasa[emoji20] [emoji20] [emoji20]Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Imebidi niseme ukweli mm siwezi kuwakumbuka bhn ni wengi sana jumlisha na wa mtaani wenyewe ndo watakumbuka nimeshawahi mtongoza DemissAhhahahahahaah unanifurahishaga sana Demiss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukweli usiopingika sikuhizi huku jf tumeingiliwa na lower thinkers ambao wakiwa wanachangia uzi utajiuliza kalazimishwa kuchangia au ndo kutafutana maneno na watu
Nakazia kabisaaaukweli usiopingika sikuhizi huku jf tumeingiliwa na lower thinkers ambao wakiwa wanachangia uzi utajiuliza kalazimishwa kuchangia au ndo kutafutana maneno na watu
Kuwakumbuka sio big dealImebidi niseme ukweli mm siwezi kuwakumbuka bhn ni wengi sana jumlisha na wa mtaani wenyewe ndo watakumbuka nimeshawahi mtongoza Demiss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti lol [emoji23][emoji23]
Nshabadilisha lakini Asigwa[emoji6][emoji6]
Fanya kama hujui tuuuDaaah huu ukweli umeniuma sema ntafanyaje sasa[emoji20] [emoji20] [emoji20]
niniiii ndo ukweli huo🙂🙂🙂🙂🙂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kweli ngoja nishike tunguri nije pmMimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Kwa foleni langu leo nimejaribu kupitia huko piem sikuamini kabisa kama na fulani alishanitongozaKuwakumbuka sio big deal
Naombea nisiwe na Mimi nipo![emoji115] [emoji30] [emoji30]Kwa foleni langu leo nimejaribu kupitia huko piem sikuamini kabisa kama na fulani alishanitongoza
Huo ndo ukweli wakoIla kweli ngoja nishike tunguri nije pm
Aiseeee acha tu nakwambia foleni si mchezoo nilkuwa najiuliza kwann nagombana sana na wanaume kumbe lipm ndo shida nikimaliza kusherehekea birthday yangu nafunga na lipmNaombea nisiwe na Mimi nipo![emoji115] [emoji30] [emoji30]
KabisaaHuo ndo ukweli wako
Hana nooma anasema anakuhusudu tu.Hahaa. Subiri nitrace sredi imetoka wapi.
Hahaa. Basi Sawa nimeelewa now.Kwakweli nikuambie Karucee una swaga za mtoni
Fresh.Hana nooma anasema anakuhusudu tu.
BinaMimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo