Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Daaah huu ukweli umeniuma sema ntafanyaje sasa[emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti lol [emoji23][emoji23]
Nshabadilisha lakini Asigwa[emoji6][emoji6]


Bora picha ya mwanzo ali ku follow, hii uliyowela sasa hivi atakuanzishia uzi kabisaaaa
 
Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Ila kweli ngoja nishike tunguri nije pm
 
Naombea nisiwe na Mimi nipo![emoji115] [emoji30] [emoji30]
Aiseeee acha tu nakwambia foleni si mchezoo nilkuwa najiuliza kwann nagombana sana na wanaume kumbe lipm ndo shida nikimaliza kusherehekea birthday yangu nafunga na lipm
 
Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Bina
 
Back
Top Bottom