Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Kwenye suala la kitumbua kitamu hapo usidanga nye watu.Nawe ukubali huu ukweli kuwa hujui kujisafisha ndio maana hiyo harufu ya ng'onda haikatiki.Na ndio maana nilidate nawe Mara 3 tu nikakupotezea.at the first time nilijua bahati mbaya,second nikasema huenda ulijisahau ila ile ya third kama wakumbuka kwanza nilihakikisha unaoga then tukaanza ila ikawa vilevile.Kiukweli hiyo harufu yakeraaaaaaaaaaa...Madhali Leo ni ukweli wacha tu niuseme
Maneno yako bila picha nitayaamini vipi?
 
Mie nawaambia ukweli wale wote wanaochangia uzi kwa kujuana + mazowea na mleta uzi. Haifai hiyo tuiache.

Maana waeza kuta uzi mzuri ila kisa member hajulikani basi unadoda.

Tuacheni hizo mambo kama tulivyopendana kipindi kile kwa kupeana taarifa na kuhamia kwa jirani basi na hata kwenye nyuzi tupendaneni pia kwani ubaguzi si mzuri.

(Hapa nasemea zile ambazo sio Chai)
 
Mie nawaambia ukweli wale wote wanaochangia uzi kwa kujuana + mazowea na mleta uzi. Haifai hiyo tuiache.

Maana waeza kuta uzi mzuri ila kisa member hajulikani basi unadoda.

Tuacheni hizo mambo kama tulivyopendana kipindi kile kwa kupeana taarifa na kuhamia kwa jirani basi na hata kwenye nyuzi tupendaneni pia kwani ubaguzi si mzuri.

(Hapa nasemea zile ambazo sio Chai)
[emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
Kuna hii stori pengine utakua ushawahi kuisikia.

Kuna shoga alikamatwa na kufikishwa mahakamani.
Hakimu akaanza

"Unashtakiwa kwa kosa la kufanya ushoga ambapo ni kinyume cha sheria, una la kujitetea?"

Shoga akajitetea..

"Mheshimiwa hakimu mi naomba nisamehewe kwasababu sikujua kama mqundu wangu ni mali ya serikali"
Ban inakuhusu
 
Soma vizur kabla sijampata mchawi nilitongozwa vya kutosha wengine tukashindwana bhn mm napenda mahelaaa
Hapana bhana, kuhusu kupenda hela unadanganye wewe sio mtu na namna hiyo na ndio maana mimi nakukubari, nakumbuka tulifanya tu kiroho safi na huku demand pesa
 
Hapana bhana, kuhusu kupenda hela unadanganye wewe sio mtu na namna hiyo na ndio maana mimi nakukubari, nakumbuka tulifanya tu kiroho safi na huku demand pesa
Nan kama ukweli
 
Mimi ukweli wangu kwa wana JF wote hasa mademu ni huu.....

Mademu wa JF mnalinga sana hata kinyonga anasubiri na wakati kwanza wengi wenu ni wabaya kweli hamuangaliki..

wengi mna sura kama ya bibi fisi halafu wafupi kama kigoda, weusi kama mmeogea lami hasa demisi.
Hahahha khaaa umeogopa kutumia id yako maana kule tumegombana shetani kabisa wewe kumbe unanikubali hivi mxeeew
 
Hahahha khaaa umeogopa kutumia id yako maana kule tumegombana shetani kabisa wewe kumbe unanikubali hivi mxeeew
Nakukubali sana demiss, hiyo ya kugombana na wewe kwa id nyingine ni weird news kwangu.... i dont have another moniker apart from this one
 
Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Aisee
 
Back
Top Bottom