Uzi wa kuandika maneno yenye busara kwa kuanzia na "Nimejifunza ya kwamba....."

Uzi wa kuandika maneno yenye busara kwa kuanzia na "Nimejifunza ya kwamba....."

Haya ndio niliyojifunza.
IMG_20180814_172509_009.jpg
 
Nimejifunza kwamba awali ni awali tu hakuna awali mbovu
 
Nimejifunza kwamba maisha ndio haya haya, ukifa unakufa peke yako.

Lesson: Kula maisha ndio mda wake huu. Ukizificha pesa ukifa wahuni wanakusachi mpaka boxer
 
"Nimejifunza ya kuwa,yatosha mtu kuitwa muongo kwa kusema kila anachokisikia"
 
Back
Top Bottom