Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
post zako zote zina IQ kubwa...congrats mkuuNimejifunza kwamba maisha bora hayaji bila kuparangana.
mbuzi katoliki hiyo mkuuNIMEJIFUNZA KWAMBA "UKIKAANGA"
"UKICHOMA"
AU "UKAROAST" NA MBOGAMBOGA BADO NI TAMU
Ahsante sana Mwayapost zako zote zina IQ kubwa...congrats mkuu
hahaha wewe ni akili kubwambuzi katoliki hiyo mkuu
nilizingua form six necta,demu wangu akafaulu baada ya kwenda chuo akaanza kuniletea dharauNaomba uniambie asili ya jina lako.
Username
Nimekuelewa na nimependa origin ya hii username.nilizingua form six necta,demu wangu akafaulu baada ya kwenda chuo akaanza kuniletea dharau
baada ya kumwambia nimeamua kufanya kilimo.
akaanza hizo dhar(L)au na nilikuwa nikimsikia akichekasana(pamoja na rafiki zake) akiwa kwenye simu kwakuwa miminimkulima.
kwa hii username huwaga inanipa nguvu ya kitafuta zaidi
nahisi umenielewa
mimi nakukumbuka we si ulijuzuru cheo CHAPUTA juzi juziNimekuelewa na nimependa origin ya hii username.
Nimescreenshot hili jibu chief nataka niendelee kukumbuka.
Ni mimi huyo.mimi nakukumbuka we si ulijuzuru cheo CHAPUTA juzi juzi