Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuoana watu wa makabila tofauti naona Kama Ni fursa ya kujua lugha nyingine,nje na lugha yako ...watu wanashindwa kutumia tu hizi fursaUnajua tunakoelekea ni kuwa hizi lugha zetu za asili zitakwisha kwa jinsi tunavyochanganyika,mf.mchaga kaoa mbondei,mbondei kaoa mwela,mwela kaolewa na mnyakyusa mwisho wa siku nchi nzima lugha itakuwa ni Kiswahili tu...
Watu na lugha zenu
Mkuu sisi tuongee kwa lugha yetu ya Kiswahili
Kwaiyo mkuu unajua mbili kabisa?Nyie hamjui hata moja!???
Natamani niwagawie hata moja Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16]
Unajua zipi au ngapiNyie hamjui hata moja!???
Natamani niwagawie hata moja Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16]
4 Kama sio 5 kabisaUnajua zipi au ngapi
Niazime moja bas,nikimaliza itumia nakurejeshea......4 Kama sio 5 kabisa
Inatakiwa ubadilike kulingana na mazingira uliyopoKwaiyo mkuu unajua mbili kabisa?
uliwazaje?
Maana mnatia huruma Sana hapa kwenye Uzi huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niazime moja bas,nikimaliza itumia nakurejeshea......
mbobo ngafuuInatakiwa ubadilike kulingana na mazingira uliyopo
Mnatilia huruma kwenye huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unajua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbobo ngafuu
Yan hadi mwenyewe najionea hurumaMaana mnatia huruma Sana hapa kwenye Uzi huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Hadi ya kabila lako huijui[emoji16]
Aiseee[emoji16][emoji16]Yan hadi mwenyewe najionea huruma
ilo waswahili tumeshalitohoa na kuliingiza kwenye kamusi yetu ya kiswahiliKumbe unajua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au na wewe umefundishwa hapo tu!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]ilo waswahili tumeshalitohoa na kuliingiza kwenye kamusi yetu ya kiswahili
ndaga fijooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Umekipenda kinyakyusa eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndaga fijooooo
Nilikaa kaa kaa kidogo maeneo ya kandete mwakaleli, katumba_tukuyu walau nika ondoga na salamu zao.Umekipenda kinyakyusa eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini lugha ikiongelewa unaelewa kidogoNilikaa kaa kaa kidogo maeneo ya kandete mwakaleli, katumba_tukuyu walau nika ondoga na salamu zao.
kinyakyusa, kihaya, kisukima najua salamu zao.Lakini lugha ikiongelewa unaelewa kidogo