Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Ni kama kuniuliza unamjua aadam? sisi tunaamini hata yale tusiyoyaona muda wa kuwa alietueleza uwepo wake ni yule aliyeviumba.Unaijua jehanamm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama kuniuliza unamjua aadam? sisi tunaamini hata yale tusiyoyaona muda wa kuwa alietueleza uwepo wake ni yule aliyeviumba.Unaijua jehanamm?
Waganga wa vitabu ndo wakoje na huwa maeneo yapi mkuu kama hautajaljOle wako..utapigwa chuma ya kisogo...ingawa wapo watu wanatoroka....ishatokea jamaa alitoroka jela kwakua alikua ameaminiwa sababu alikua amebakizA mda mdogo kutoka..sasa mfungwa akitoroka askari anashushwa cheo kimoja..sasa uyo askari akaenda kwa mganga wa vitabu..jamaa alivutwa kishirikina akaenda adi mji wenye gereza akashikwa kama kuku😬😬😂😂...mmoja yeye alitoroka mchana wakati wa kula kama vumbi...hii ni jela moja kanda ya kati..huyu hakuwahi kushikwa maana mganga aliemsaidia ni hatari
DuuhMakamarade nimeona nianzishe huu Uzi ili kupeana uzoefu wa maisha ya Jela. Sisi wote ni wafungwa watarajiwa alijisemeaga magufuli.
Sasa hebu tupeane mbinu maisha misamiati tamaduni taratibu za Jela ili siku ukienda kule unakuwa Mwenyeji. Pia tuambiane mabosi wanakaa maeneo gani kule Jela? Wanavyumba vyao?
Majitu yaliyouwa je Kila mtu anachumba chake? Au yamelundikwa? Je chumba gani ni hatari zaidi kule Jela na mfungwa gani ni hatari zaidi? Je kuna mfungwa yupo Jela toka mwaka 1977 ccm inazaliwa mpaka leo hajatoka?
Je wafungwa wanapata msongo gani wa mawazo akijua fika mke wake lazima agegedwe wakati yeye yupo Jela? Je wafungwa wakike Wana life la kibabe? La kindava kama wakiume?
Je, wafungwa wakike wanapashanaje joto kimapenzi? Nk
Tupe experience mkuuMaisha ya Jela sio mchezo hata kidogo!.
Sitosahau siku napelekwa kwa mara ya kwanza Gerezani kukaa siku 14,kiukweli mwanzo unaweza kuona ni kama utani vile ila baada ya siku 3 ndiyo unaanza kuamini kweli nipo Gerezani.
Nashukuru Mungu ni sehemu ya maisha ila nilipata Funzo.
DuuhKazi ngumu bro,
Nakumbuka siku moja kuna gogo tulienda kubeba kuleta jikoni,umbali kama mt 50 tu, tulikua 15 tukashindwa kuliweka begani.
Nyapara tuliekua nae akaenda kwa mkuu akamwambia "niongezee nguvu wale jamaa wameshindwa"
Alitandikwa vibao, halafu akaja yeye na wenzie kama wa3 hivi.
Mkuu hukuwepo ila niamini tulibeba gogo likakaa begani na akaanza kupunguza mmoja mmoja mpaka tukabaki 8.
Hapa siongelei magereza yenu ya town(kazi kubwa kumwagilia maua na kufyeka majani). NGWALA,SONGWE,KISONGO,MAWENI,MPECHI na ISISI usiombe ukaingia hizi ngome....
ROHO YAKO MWILI WAKWETU
Na wanautumia kweli
HahahaPicha linaanzia tuko site tunavuta bangi msituni huko, miongoni mwa wavuta bangi walikuepo maaskari tulikua tunanyonga nao.
Sasa yule pusha ilikua lazima awape kodi ya meza ili wamlinde wasimchome, naona alizingua aise lilitimba pila Hilo tulichukuliwa tukashuka central😬
Sasa ishu ikawa mtu wa kumcheki Kwa ishu kama io ya kisenge ya kuvuta bangi😀😀 nikasema nitakaa hapa adi mnitoe wenyewe mimi Sina ndugu yoyote hapa mjini🤣
Na kweli nimekaa mahabusu siku 3 wale jamaa kumbe target Yao ilikua pesa tu mwisho waliamua kuniachia tu
Yaani sikukuu imenikutia mahabusu. Nilacha bangi tangu hapo😬😂
Mahabusu kubaya sana sipati picha huko jela Kuna jamaa alikua analia tu aliletewa chakula Hali watu ambao hatuna ndugu tunabonda tu. Mahabusu unaweza kua huna ndugu ukala ukashiba Kuna watu wako so frustrated aise
MmhKama hilo wanaita NGWALA lipo milima ya chunya kama unaenda tabora(hii ni shortcut) gereza lipo katikati ya mbuga hata hamlindwi kama utaweza kimbia....
Naskia unavopelekwa gerezani njiani ni mafuvu tu...
Na kila baada ya mwezi wanachukuliwa wafungwa kadhaa wanapelekwa kuongeza nguvu(escoter)....
Ili ubaki inatakiwa uhonge 100k kila inapokuja escoter..,asikwambie mtu huwa wanalia watu(hawataki kwenda na hela ya kuhonga hawana) kama watoto muulize mtu anaepasikia ngwala akwambie..
NB:LILIJENGWA NA WAKOLONI KAMA MAXMUM SECURITY KIPINDI HIKO...kwa wafungwa wasumbufu..
DuuhNliwahi pewa kesi ya uhujumu uchumi. Umri ukaniokoa.
Ile ni best diss track in my whole life ni motooooChanzo cha 2Pac kumdiss Chino XL
2Pac alienda Jela nyuma Chino XL akatunga ngoma inaitwa Riiiiot ndani hio ngoma anasema "siwezi kwenda Jela nisije nikabakwa km 2Pac"
Pac alipotoka Jela na kuzinguana na Biggie ambae aliiba idea ya ngoma Get Money kutoka kwa 2Pac kupitia Faith Evans ambae alivujisha ujio wa hio ngoma ya 2Pac, Junior Mafia wakafanya Get Money ikatoka Pac akachukia akaita kikosi chake akafuta lyrics zote original za Hit Em Up akaandika lyrics mpya za diss track na katika hio diss track mwishoni anasema "Fack Chino XL" sababu Chino XL alimuimba kua 2Pac alipokua Jela alitatuliwa Malinda kinguvu yaani alibakwa na wazee wa Jela
Jela sio kuzuri
DuuhUmenikumbusha jamaa yangu alipelekwa escoter Gereza la MAWENI(MUUWENI),,alikua anaitwa john me nlipenda kumuita FIDEL CASTRO...Alinunua redio(hatukujua kaitoa wapi wala betri ananunuaga muda gani)..
kesi zetu zilikua zinafanana japo yeye alitenda kweli,,
analalia magodoro ma3,halafu sio nyapara kila ikifika saa 8 usiku,ananipigapiga begani halafu ananiambia "JAMBAZI MIMI NAWASHA REDIO" Halafu anawasha tena sauti mpaka mwisho...
alikua anapigwa muda wote na anashinda na minyororo,wakampeleka MAWENI(Tanga)...atakua alikufa na kama mzima haji kuwa na familia sio kwa vipigo vile...
Unatakiwa uitike vipi!?Bwana mkubwa, Sasa ole wako uitwe halafu uitike Naam[emoji16]
Mjomba upo kwenye operation"reply kila uzi".Unatakiwa uitike vipi!?
Hahaha hapana mkuuMjomba upo kwenye operation"reply kila uzi".
Kila uzi wa zamani naona umo, kuna nyuzi za 2011,2015 unauliza maswali mpaka marehemu 😂😂Hahaha hapana mkuu
Toka lini mahabusu wakapewa jezi?!Nakumbuka 2019,nilikua mahabusu pale ISISI gerezani,sasa wakati tunasubiri kupewa jezi(zile za orange) na kukaguliwa,TV ilikua imewashwa tunaangali kuna jamaa alikuja dirishani akasema.
"rasta rasta huo umeme wa magufuli rasta haaya,mtaulipia rastaa"
aliongea kwa uchungu na tuliulipia kweli dadeki..
Iseme tena hii kauli kwa mwanao wa kiume!!Wewe ni Muuaji,yeye alikuwa anatumia viungo vyake wewe unakereka Nini Hadi umuue?
Unafanyiwa mambo ya p.diddyJera ukipenda kulakula na wewe ni mwanaume unavuliwa ubigwa haraka sana, yani unatauliwa marinda so usiendekeze njaa ukiwa jera